Naomba kufahamishwa kuhusu gharama za maisha ndani ya Jiji la Tanga

Kwan chumba sh ngap barabara ya 15 chumba sh ngap majan mapana chumba sh ngap magomen being na dar nisawah upande wachumba afu tanga kubwa hata manga nitanga hata mkata hata kwa msisi pia je? Ww unazungumzia tanga ipi
 
mkuu Asante.Sehemu salama ya kuishi ni wapi?
Kama unaitaj uende tanga kupambana mm nakupa %40 zakufanikiwa ila pazur kuish mkata handen vijijin na kwamsisi had pangan kajarb huko lakin usiguse tanga mjini pagumu hao wanakupotosha aje anaeish tanga abishe hapa
 
Kwa gharama za kuishi Tanga ziko chini sana huwezi fananisha na Dar ila mzunguko nao uko chini kupata pesa ni ngumu labda uwe mwajiriwa utaenjoy sana.
 
Kwa gharama za kuishi Tanga ziko chini sana huwezi fananisha na Dar ila mzunguko nao uko chini kupata pesa ni ngumu labda uwe mwajiriwa utaenjoy sana.
Unaweza kunipa kwa wastani pato la chini sh ngp?
 
Tanga hii ya toka late 1980s na early 1990s mpaka kesho hakuna mabadiliko. Labda wendawazimu wa albadiri ndo wnaazidi kuongezeka.
 
Usisahau pia ni malaya na wachawi kishenzi yaani...
 
 
Kwa minchi nimekaa sana mitaa hiyo, na chuda. Tanga ukiwa na mtaji maisha ni marahisi sana, mji sio mkubwa na ni mji wa waswahili.
Mtaji kama wa shillingi ngapi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…