GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Yanapatikana kwa wingi nchini Kenya. Naamini na hapa kwetu Tz kuna watu wanaoyalima.
Sina uhakika kama nimeshayala. Lakini leo katika kupitia makala za kilimo, nimekutana na mada inayoihusu.
Nimeshangazwa kusoma kwamba hayana mbegu. Ni kweli ndivyo yalivyo? Yana uhusiano wowote na GMO?
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sina uhakika kama nimeshayala. Lakini leo katika kupitia makala za kilimo, nimekutana na mada inayoihusu.
Nimeshangazwa kusoma kwamba hayana mbegu. Ni kweli ndivyo yalivyo? Yana uhusiano wowote na GMO?
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏