Naomba kufahamishwa kuhusu PIXIE ORANGES

Naomba kufahamishwa kuhusu PIXIE ORANGES

Hayo machungwa ni matamu kweli ?! Alafu hayana mbegu duh.

Watakuja leta machungwa hayana MAGANDA sasa yaani hakuna haja ya kumenya.
🤣🤣🤣

Mambo ya Teknolojia mkuu. Watu wanafikiria.
 
Siwezi jibia upande wa madhara na huenda hayana kabisa madhara Bali faida kwa mwili wa binadam nadhani endelea kujielimisha
Ila nachojua ni kwamba GMO zote huwa hazina uwezo wa ku reproduce hivyo zitapelekea siku za usoni kuwa na upungufu wa chakula ila mwilini sidhani kama madhara ni makubwa
🙏🙏🙏
 
Hakuna cha GMO, watu hawana uelewa na plants wana apply political Science kwenye mambo ya Plants. hayo machungwa ni ya kitambo sana hata Tanzania yapo enzi za wamisionaries.
Ni kweli mkuu🙏🙏🙏
 
Seedless Oranges kwanza zipo kitambo sana baadhi ya maenei walio kaaa Wamisionaries waliotesha pia haya machungwa, binafisi kuna sehemu walikuwa wanaishi wazungu tulikuwa tunaenda kuyaiba hapo ni miaka ya 80+ GMO kwenye plants haina muda mrefu, Seedless zipo kitambo sana, mfano Grapes seedless ndio za kitambo mno.

Pia kuna watu wanazania GMO ni mimea au matunda yasio kuwa na mbegu, hizi shule sijui wametoa wapi.

Tafuta watalamu wa mimea wakupe shule juu ya Seedless, Hybrid na GMO, make hivi vitu watu kwa stories za vijiwe vya kahawa wanadanganywa sana.

Seedless Oranges kuna Pixie, kuna Washi gton Navel, kuna Mioneola, kuna Clementine zote hizo ni seedlesss kuna Tangarine
🙏🙏🙏
 
Alie kuambia GMO ni matunda yasio kuwa ba mbegu ni nani? auna elimu ya mambi ya Plants mkuu? Tafura mtu mwenye uelewa wa mambo ya plants akueleweshe nini maana ya Seedless na nini GMO na nini Hybrid
🙏🙏🙏
 
Siyo GMO mkuu. Nimecheki mtandaoni.

Kuhusu machungwa ya Tanga, ni kweli ni matamu, au yalikuwa matamu, lakini ya siku hizi, hasa yanayokuja kanda ya Ziwa siyo matamu kama ya zamani.

Na mengine hayana juisi nyingi. Unakuta upande mmoja ni kama sponchi, hakuna juisi kabisa.
Basi hiyo ni fursa unachosema ni kweli machungwa mazuri ni bahati nasibu
 
Ukizitaka Pixie nicheki, mche sh 6000@ Pixie ni cross ya Tangarine na sweet Oranges. Pixie ni machungwa kwa ajili ya Juice na ndio maaana unayakuta kwenye Masuper Market. Hizi za Tanga hazifai kwa juice kwa sababu zina mbegu.

0783691072
IMG_20240405_074427.jpg
IMG-20240405-WA0008.jpg
IMG-20240405-WA0010.jpg
IMG-20240405-WA0009.jpg
IMG-20240405-WA0001.jpg
 
Yanapatikana kwa wingi nchini Kenya. Naamini na hapa kwetu Tz kuna watu wanaoyalima.

Sina uhakika kama nimeshayala. Lakini leo katika kupitia makala za kilimo, nimekutana na mada inayoihusu.

Nimeshangazwa kusoma kwamba hayana mbegu. Ni kweli ndivyo yalivyo? Yana uhusiano wowote na GMO?

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sio mazuri wakenya wengi wanafuata machungwa huku tz hata kabla hayajakomaa vizuri wananunua
 
Ni GMO pure mkuu kwa tz bado Kuna machungwa mazuri TU kutoka Tanga endelea kufurahia matunda Bora
Ila jamani mbona machungwa ya sasa hayana ladha kabisa.... Ukilinganisha na machungwa tumekula utotoni??
 
Ila jamani mbona machungwa ya sasa hayana ladha kabisa.... Ukilinganisha na machungwa tumekula utotoni??
Sikuhizi kuna
1.Machungwa - SUGARLESS
2. Embe - SUGARLESS
3. Nanasi. - SUGARLESS
4.Ndizi malind na mzuzu -SUGARLESS
5.MIWA - SUGARLESS halafu full of good natural smell ya Sunday halisi.
Pia kuna -:
Maparachichi - CREAMLESS
Kiukweli hivi vitu ni kama vipo pair kuna vyenye ladha na ambavyo havina ladha wala harufunzuri
 
Sikuhizi kuna
1.Machungwa - SUGARLESS
2. Embe - SUGARLESS
3. Nanasi. - SUGARLESS
4.Ndizi malind na mzuzu -SUGARLESS
5.MIWA - SUGARLESS halafu full of good natural smell ya Sunday halisi.
Pia kuna -:
Maparachichi - CREAMLESS
Kiukweli hivi vitu ni kama vipo pair kuna vyenye ladha na ambavyo havina ladha wala harufunzuri
Ladha yake ya asili ibaki pale pale bwana lakini...
 
Back
Top Bottom