Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Uafrika kweli ni laana, huku kuitukuza hii picha yote hayo kisa kachora mzungu, nimeitazama sijaona lolote Kati ya wanayoandika hapa,
 
Wewe unatishia tishia au sijui unapima watu?

Hayo yoote unayoyaelezea kwanini usifunguke zaidi?

Assume yeye hayajui...si ufunguke kwa msaada wa wengine?
Eti anatishia tishia
 
Mkuu hii propaganda ilianzishwa na Atheists wa mwanzoni kabisa akiwepo Da Vinci aliyekuwa Atheists mwenye kipaji na akili nyingi sana.
Kama nikivyowaambia mwanzo da Vinci alikuwa haamini kama kuna Mungu so nae alikuwa kwenye hizi devil worshiper secret societies. So na hii ulikuwa Ni mpango shetani kuharibu historian ya YESU na ili apate wafuasi wengi tu. Na amefanikiwa kwa kiasi Fulani.
Remember Da Vinci alikuwa haamini kama kuna Mungu.
 
Alikuwa haamini kuna Mungu...but still kazi zake nyingi sana zinatumiwa na makanisa...???!!
haamini kama kuna Mungu so nae alikuwa kwenye hizi devil worshiper secret societies. So na hii ulikuwa Ni mpango shetani kuharibu historian ya YESU na ili apate wafuasi wengi tu. Na amefanikiwa kwa kiasi Fulani.
Remember Da Vinci alikuwa haamini kama kuna Mungu.[/QUOTE]
Alikuwa haamini kuna Mungu...but still kazi zake nyingi sana zinatumiwa na makanisa...???!!
 
gosper of barnabas,
 
hii thread ishahsmia ktk dini, ila kama ni kuhusu da vinci yule jamaa ana mengi zaidi ya dini ktk kazi zake...
 
duuuuh! Mshana Jr mchango wako hapa ungesaidia sana! njooooo chap!...GENTAMYCINE please njooo.....
 
Mkuu paris ipo nchi gani
 
Asante mkuu
 
Mkuu hii picha mchoraji hakuweka kope kabisa na hadi leo wataalam wa paintings wanajiuliza ni vipi haikukamilika au ni ujumbe?
 
Swali linakuja je hizo feelings utaziona kwenye picha hiyo hiyo original tu iliyoko France au hat akwa picha zingine copy ya Monalisa zilizochorwa na wasanii wengine??
 
Mkuu hii picha mchoraji hakuweka kope kabisa na hadi leo wataalam wa paintings wanajiuliza ni vipi haikukamilika au ni ujumbe?
Mwaka 2007 engineer mmoja huko Ufaransa baada ya kuangalia kwa kutumia ultra-high resolution scan alisema kuwa kope zilikuwepo ila baada ya kuisafisha picha kwa miaka mingi imefutika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…