Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Heee wanasem yesu alikufa akiwa na miaka 33, sasa Huyo yohane alimzaa lini mpka awe Mtu mzima wafanane hadi tuda achanganyikiwe kumuoneshea????[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
Kuna vingi sana vinashangaza mara yesu alioa mara alizaa daah yan ni mkanganyiko tuu mkuu

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Ila huyu jamaa alikuwa ana chora bhana tuache utani.yaani alikuwa anatumia mikono tu.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Ina maana gani hii picha??
Leonardo alikua hatoi maana ya picha zake kwa maana alikua anapinga kitu fulani katika utawala na mambo ya dini, kwahiyo angetoa maana zake angeuliwa ndio maana alkua anawaacha wana dunia wataabike kujiuliza ni nini hiki. Picha zenye maelezo ni zile za science au ugunduzi wa mashine mbali mbali alikua akiandika maelezo mengi tu. hizi za akina Monalisa katuachia mafumbo hadi leo mwaka wa 500+ tunajiuliza tu bila majibu.
 
Pia kuna kikundi kinaitwa 'The sons of mithra ."

Angalia series inatwa "The da Vinci demons"
 
Heee wanasem yesu alikufa akiwa na miaka 33, sasa Huyo yohane alimzaa lini mpka awe Mtu mzima wafanane hadi yuda achanganyikiwe kumuoneshea????[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
Yesu hakuwa na mtoto
 
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Usiogope hyo ndo kanuni ambayo imeshaweka.mungu aliweka mwanzo wa dunia na mwisho wa dunia.matukio yote yaliyosemwa na manabii kipindi hcho yatakuja kutokea hata kama si wakati wetu.lakini lazma yatakuja.yesu atarudi,lini hakuna binadamu anayejua.ila mungu.na wapo watakao mkubali na watakao mkataa pia wapo.
 
Unaturudisha nyuma mkuu, hii mada ni ya tatu kuhusu picha ya mona,
 
Yesu akuowa wala hakuzaa.atakaporudi ndo atafanya haya.na ataishi miaka 40.na hapo ndo tunaelekea mwisho wa dunia.haya ni kwa mujibu wa mafundisho ya uislam
Hakuna mwisho wa dunia.
 
Hii piA aliichora huyo huyo leonardo na ni miaka zaidi ya elf moja mia tano,nayeye alitumia tuu akili yake na mawazo yake hivy
 
inamaana uchaguzi wa USA unahusika hapa??? [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…