Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa


 
Monalisa hakuwa na kope huo utafiti ulifanyika kwa muda mrefu mpaka ikaja kugundulika katika mchoro ule wa kwanza sio wa pili aliyourudia
 
Monalisa hakuwa na kope huo utafiti ulifanyika kwa muda mrefu mpaka ikaja kugundulika katika mchoro ule wa kwanza sio wa pili aliyourudia
Nalijua hilo kuwa hakuwekewa kope mpaka baada ya miaka ni kweli labda uandishi tu,
Lakini nilikuwa na maana hiyo
 
Mkuu kuna nyama umenisahau da vingi hakuwa kumalizia picha zake zote alizowai kizichora na kingine hakuwai kwenda shule
 
Sasa mkuu ujue hizi picha zilikuja kuchorwa na watu mbalimbali ambao si Leonardo da Vinci.

Ukitaka kuamini hebu taja majina ya wanafunzi wa Yesu kisha wahesabu utagundua anabaki mmoja ambaye ni Yohana kulingana utafiti mbalimbali na pia mchoro wa kwanza kabisa.

Sasa watu wamembadilisha Yohana na kumchora Mwanamke.
 
Siri mojawapo ni kwamba mchiraji alikuwa anahisiwa kuwa homosexual au?
Hiyo mbona ilikuwa public mpaka wakamshtaki lakini hawakuwa na ushahidi mawakili mjaribu wakamkuta yuko safi hapo ndipo alipoanza chupuchupu yake sema jamaa alikuwa na maisha ya siri sana hata watu wakaribu walishindwa kumuelewa
 

Hii ikoje mkuu
 

Attachments

  • IMG-20161029-WA0134.jpg
    76.8 KB · Views: 85
Ngoja nirudi kwenye summary notes nilizoandika wakati nilipoisoma novel ya Da Vinci code. Nakumbuka niliisoma kwa umakini sana nikiwa naandika mambo muhimu.
Ni novel ya hatari kwa mwanadini asiye msomaji mzuri wa bible na ni msaada mkubwa wa mwanazuoni wa bible.
 
Hadi sasa hakuna aliyejibu hili swali zaidi ya kumjadili tu mchoraji.!
Huyo monalisa mpaka leo hajulikani ni nani na hakuna ushahidi wowote hata yeye mwenyewe da vingi hakumjua hiyo ni picha iliyomjia kichwani tu na kuichora tu lakini ajabu ndio picha maarufu zaidi tangu alivyoanza fani yake ya uchoraji
 
Mkuu hiyo picha ya last supper ushawahi kuiona? Unaweza kunisaidia kuipata?
 
Wewe tayar umeshajua.
Ni vyema utujuze
 
ila pia huwa naina kanisani kama sikosei, huwa ni picha ya mtakatifu fulan, tho sina uhakika
 
Lkn wengi mnasema alikufa akiwa hajaikamilisha na pia hakuelezea chochote.
Sasa hizi assumption zinatoka wapi?
Ingewezekana yeye angesema yake tofauti
 
Danny Brown anasema mwenyewe kuwa asilimia 99 ya alichoandika kwenye Da vinci code au vitabu vyake vingine kama Angels and Demons, Digital fortress n.k ni vitu vya kweli na sio fiction kama wengi wanavyosema
Acha urongo wewe....Yani unapindua alichokisema....Kwakifupi alisema vitu alivyoandika ni fiction na sio kweli..

Kwenye ulimwengu huu wa digital kudanganya ni ngumu
 
Ila mwaka 1947 zimepatikana nyaraka za siri kule israeli zikiwa zimefichwa kwenye mapango.
Hapo unasema nyaraka zimepatikana..
Vitu hivi vikijulikana ukristo utakua mashakani sana. Hivyo kwa gharama yoyote lazima vitu hivi vifichwe
Ila hapa inaonesha nyaraka hizo hazijapatikana na wasiwasi wako inaonesha vikipatikana Ukristo upo hatiani....

Hivi unajielewa kweli...Kama huna data ni bora usichangie...Unachanganya mlenda na chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…