Naomba kufahamishwa namna ya kupika nyama ya kopo.

Naomba kufahamishwa namna ya kupika nyama ya kopo.

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Nawasalim kwa jina la TZ.
Naomba kufahamishwa jinsi ya kuipika,ama kuiandaa kwa ajili ya kula nyama ya kopo.
Ninapoenda supermarket hua naiona sana nyama hii ya kopo,natamani kuinunua,lkn sijui kuiandaa kwa ajili ya kula,ama kuipika maana najua tayari hua imekwisha kupikwa.
Je ninaiandaaje kwa ajili ya matumizi?
 
Haipikwi hiyo wewe utachanganya madawa

1714576637399.png


1714576518560.png
 
Back
Top Bottom