Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kufuatia maandalizi ya maadhimisho ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa baba wa taifa la tz, hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere, naomba kufahamishwa kama kumewahi kuwa na desturi au utamaduni kwa jamii za kiafrika; kusherehekea siku za kuzaliwa kwa viongozi waliotangulia mbele za haki au hata kwa ndg na jamaa!
Je, sherehe hizo bajeti yake inatoka kwenye fungu gani? Zina umuhimu gani?
Je, sherehe hizo bajeti yake inatoka kwenye fungu gani? Zina umuhimu gani?