Naomba kufahamishwa wasifu wa Mhe. Thomas Simba, Hakimu wa Mahakama ya Kisutu

Naomba kufahamishwa wasifu wa Mhe. Thomas Simba, Hakimu wa Mahakama ya Kisutu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Si vibaya na wala haijawahi kuwa kosa kisheria kufahamu wasifu wa Mtumishi wa Umma, hasa yule anayegusa maslahi ya watu wengi kwa kuhakikisha haki zao zinapatikana.

Binafsi namfahamu kidogo tu kama Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu, ameshiriki kwenye kuamua kesi kadhaa za wanasiasa na raia wengine.

Naomba sana kwa mwenye kufahamu wasifu wa Mh huyu atuwekee hapa, namaanisha Kiwango chake cha Elimu, shule alizosoma, alisoma na akina nani, uadilifu na uaminifu wake, mahali pengine alipofanya kazi, na aliondokaje, hukumu zake zilizopita na za karibuni, kwa ujumla ningependa kumfahamu kuhusu yote mnayoyafahamu juu yake.

Naomba kuwasilisha .
 
Hakimu Simba ni legacy ya Mwendawazimu.
Aliahidiwa ujaji kama angesaidia KUIUA CHADEMA. Na vile alikua na njaa akatekeleza dhuruma.
uzuri tunamfahamu mpaka kizazi chake na wajukuu zake. Ipo siku yake, hatutamsamehe.
Hakuna binadamu yoyote yule atakayejaribu kuihujumu Chadema na akabaki salama. Huyu naye litamkuta la kumkuta ni suala la muda tu
 
Hakuna binadamu yoyote yule atakayejaribu kuihujumu Chadema na akabaki salama. Huyu naye litamkuta la kumkuta ni suala la muda tu
Mpumbavu sana huyu anaeijiita Hakimu Simba. Kila nikiona kizazi chake natamani kukichinjilia mbali.

Hii nchi salama yake ni katiba mpya, vinginevyo itaingia tu kwenye historia ya Rwanda.
 
Hakimu Simba ni legacy ya Mwendawazimu.
Aliahidiwa ujaji kama angesaidia KUIUA CHADEMA. Na vile alikua na njaa akatekeleza dhuruma.
uzuri tunamfahamu mpaka kizazi chake na wajukuu zake. Ipo siku yake, hatutamsamehe.
Tunakushukuru sana kwa taarifa hii muhimu
 
Si vibaya na wala haijawahi kuwa kosa kisheria kufahamu wasifu wa Mtumishi wa umma , hasa yule anayegusa maslahi ya watu wengi kwa kuhakikisha haki zao zinapatikana.

Binafsi namfahamu kidogo tu kama Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu , ameshiriki kwenye kuamua kesi kadhaa za wanasiasa na raia wengine .

Naomba sana kwa mwenye kufahamu wasifu wa Mh huyu atuwekee hapa , namaanisha Kiwango chake cha Elimu , shule alizosoma , alisoma na akina nani , uadilifu na uaminifu wake , mahali pengine alipofanya kazi , na aliondokaje , hukumu zake zilizopita na za karibuni , kwa ujumla ningependa kumfahamu kuhusu yote mnayoyafahamu juu yake .

Naomba kuwasilisha .
Mh. Simba ni jembe la mwendazake! Alikuwa anatumia kwenye hukumu za kipumbavu za mwendazake!! Mama amtumbue huyu hakimu!!
 
Akiwa katika milima ya Torabora, ilisikika sauti ikisema, "nileteeni Simba"
 
Si vibaya na wala haijawahi kuwa kosa kisheria kufahamu wasifu wa Mtumishi wa umma, hasa yule anayegusa maslahi ya watu wengi kwa kuhakikisha haki zao zinapatikana.

Binafsi namfahamu kidogo tu kama Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu, ameshiriki kwenye kuamua kesi kadhaa za wanasiasa na raia wengine.

Naomba sana kwa mwenye kufahamu wasifu wa Mh huyu atuwekee hapa, namaanisha Kiwango chake cha Elimu, shule alizosoma, alisoma na akina nani, uadilifu na uaminifu wake, mahali pengine alipofanya kazi, na aliondokaje, hukumu zake zilizopita na za karibuni, kwa ujumla ningependa kumfahamu kuhusu yote mnayoyafahamu juu yake.

Naomba kuwasilisha .
Thomas Simba ni Mnyasa toka Mbamba Bay Ila amekulia Magereza Mbeya mpaka anapata elimu ya msingi.

Alianza kazi kama Karani wa Mahakama na kisha akasoma Primary Court Certificate na Diploma pale IDM Mzumbe na hatimaye LLB pale UDSM.

Kikazi kaanzia chini sana kwenye Ukarani, Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo hadi kuwa Principal Resident Magistrate hapo Kisutu. Uzoefu wake siyo wa kutiliwa mashaka.

Kabla ya Mwendazake Hakimu Thomas Simba alikuwa ni mmoja wa Mahakimu "sober" wanalinda heshima ya Judiciary nchini kwa kutoa maamuzi bila kupepesa macho.

Lakini mwaka 2018 aliingia kwenye 18 ya Mwendazake pamoja na Michael Mteite yule aliyemhukumu Sugu Mbeya na Wilbard Mashauri aliyewafutia dhamana Mbowe na Esther Matiku.

Kwanza akaongezewa miaka ya kustaafu 2, na kisha akaahidiwa UJAJI. Bahati mbaya kwake Mwendazake amekufa kabla hajampa hicho cheo.

Kati ya hawa akina Mashauri na Simba kulikuwa Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi ndiye alikuwa anaandika zile hukumu. Hawankazi yao ilikuwa kusikikikiza ushahidi na kusoma hukumu tu.
 
Mpumbavu sana huyu anaeijiita Hakimu Simba. Kila nikiona kizazi chake natamani kukichinjilia mbali.

Hii nchi salama yake ni katiba mpya, vinginevyo itaingia tu kwenye historia ya Rwanda.
Ukichinjilie mbali?

Nani kakupa mamlaka hayo?

Unachotamani kufanya Ni kibaya kwa Kila namna
 
Ukichinjilie mbali?

Nani kakupa mamlaka hayo?

Unachotamani kufanya Ni kibaya kwa Kila namna
Nakuelewa, haya maovu yalifanywa pia na Wilbard Mashauri ambaye aliwatolea dhamana Esther Matiku na Mbowe na Kisha wakasota rumande miezi kama 4.
Wakati huo Esther Matiku alikuwa mzazi anayenyonyesha kichanga cha miezi 6.

Wilbard Mashauri alipandishwa cheo na kuwa Jaji huku akiwa amebakia na mwezi mmoja kustaafu.

Hakika Mwendazake ametupitisha kwenye BONDE LA UVULI WA MAUTI. Muache a REST IN HELL yule Ibilisi mkubwa.

Yasemekana bado Mwendazake yuko mlangoni Shetani hajui amuweke wapi maana dhambi zake zinamtisha hata Shetani mwenyewe.
 
Back
Top Bottom