Naomba kufahamishwa wasifu wa Mhe. Thomas Simba, Hakimu wa Mahakama ya Kisutu

Naomba kufahamishwa wasifu wa Mhe. Thomas Simba, Hakimu wa Mahakama ya Kisutu

Thomas Simba ni Mnyasa toka Mbamba Bay Ila amekulia Magereza Mbeya mpaka anapata elimu ya msingi.

Alianza kazi kama Karani wa Mahakama na kisha akasoma Primary Court Certificate na Diploma pale IDM Mzumbe na hatimaye LLB pale UDSM.

Kikazi kaanzia chini sana kwenye Ukarani, Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo hadi kuwa Principal Resident Magistrate hapo Kisutu. Uzoefu wake siyo wa kutiliwa mashaka.

Kabla ya Mwendazake Hakimu Thomas Simba alikuwa ni mmoja wa Mahakimu "sober" wanalinda heshima ya Judiciary nchini kwa kutoa maamuzi bila kupepesa macho.

Lakini mwaka 2018 aliingia kwenye 18 ya Mwendazake pamoja na Michael Mteite yule aliyemhukumu Sugu Mbeya na Wilbard Mashauri aliyewafutia dhamana Mbowe na Esther Matiku.

Kwanza akaongezewa miaka ya kustaafu 2, na kisha akaahidiwa UJAJI. Bahati mbaya kwake Mwendazake amekufa kabla hajampa hicho cheo.

Kati ya hawa akina Mashauri na Simba kulikuwa Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi ndiye alikuwa anaandika zile hukumu. Hawankazi yao ilikuwa kusikikikiza ushahidi na kusoma hukumu tu.
Alianzia ukarani akaona mahakimu wanapiga hela. Akasomea uhakimu wa lower courts akaona bado mshiko Ni mfupi halafu kesi anazopewa Ni ndogo ndogo akasoma mlimani akawa hakimu mkazi na kuhamishiwa Dar. The rest is history.
Ila duniani huwezi kuinjoi kwa hela ya dhulma.
 
Thomas Simba ni Mnyasa toka Mbamba Bay Ila amekulia Magereza Mbeya mpaka anapata elimu ya msingi.

Alianza kazi kama Karani wa Mahakama na kisha akasoma Primary Court Certificate na Diploma pale IDM Mzumbe na hatimaye LLB pale UDSM.

Kikazi kaanzia chini sana kwenye Ukarani, Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo hadi kuwa Principal Resident Magistrate hapo Kisutu. Uzoefu wake siyo wa kutiliwa mashaka.

Kabla ya Mwendazake Hakimu Thomas Simba alikuwa ni mmoja wa Mahakimu "sober" wanalinda heshima ya Judiciary nchini kwa kutoa maamuzi bila kupepesa macho.

Lakini mwaka 2018 aliingia kwenye 18 ya Mwendazake pamoja na Michael Mteite yule aliyemhukumu Sugu Mbeya na Wilbard Mashauri aliyewafutia dhamana Mbowe na Esther Matiku.

Kwanza akaongezewa miaka ya kustaafu 2, na kisha akaahidiwa UJAJI. Bahati mbaya kwake Mwendazake amekufa kabla hajampa hicho cheo.

Kati ya hawa akina Mashauri na Simba kulikuwa Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi ndiye alikuwa anaandika zile hukumu. Hawankazi yao ilikuwa kusikikikiza ushahidi na kusoma hukumu tu.
Tunakushukuru sana kwa maelezo ya kutukuka mno !
 
Nakuelewa, haya maovu yaliganywa pia na Wilbard Mashauri ambaye aliwatolea dhamana Esther Matiku na Mbowe na Kisha wakasota rumande miezi kama 4.
Wakati huo Esther Matiku alikuwa mzazi anayenyonyesha kichanga cha miezi 6.

Wilbard Mashauri alipandishwa cheo na kuwa Jaji huku akiwa amebakia na mwezi mmoja kustaafu.

Hakika Mwendazake ametupitisha kwenye BONDE LA UVULI WA MAUTI. Muache a REST IN HELL yule Ibilisi mkubwa.

Yasemekana bado Mwendazake yuko mlangoni Shetani hajui amuweke wapi maana dhambi zake zinamtisha hata Shetani mwenyewe.
Aiseeee !!!
 
Je
Thomas Simba ni Mnyasa toka Mbamba Bay Ila amekulia Magereza Mbeya mpaka anapata elimu ya msingi.

Alianza kazi kama Karani wa Mahakama na kisha akasoma Primary Court Certificate na Diploma pale IDM Mzumbe na hatimaye LLB pale UDSM.

Kikazi kaanzia chini sana kwenye Ukarani, Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo hadi kuwa Principal Resident Magistrate hapo Kisutu. Uzoefu wake siyo wa kutiliwa mashaka.

Kabla ya Mwendazake Hakimu Thomas Simba alikuwa ni mmoja wa Mahakimu "sober" wanalinda heshima ya Judiciary nchini kwa kutoa maamuzi bila kupepesa macho.

Lakini mwaka 2018 aliingia kwenye 18 ya Mwendazake pamoja na Michael Mteite yule aliyemhukumu Sugu Mbeya na Wilbard Mashauri aliyewafutia dhamana Mbowe na Esther Matiku.

Kwanza akaongezewa miaka ya kustaafu 2, na kisha akaahidiwa UJAJI. Bahati mbaya kwake Mwendazake amekufa kabla hajampa hicho cheo.

Kati ya hawa akina Mashauri na Simba kulikuwa Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi ndiye alikuwa anaandika zile hukumu. Hawankazi yao ilikuwa kusikikikiza ushahidi na kusoma hukumu tu.
Je amewahi kuwa Mtwara miaka ya 2005 -7?
 
Kama ni yeye basi nchi hii tuna hasara kubwa kwani huyo ni mlevi kupindukia!
Kwa kweli Simba ni Mlevi mbwa !! Sijui kwa nini hata Judicial Service Commission haijamchukulia hatua. Ulevi unamuathiri sana kazi zake. Karibu kila Jumatatu amaamka na HANGOVER na inamfanya awe na low performance.
 
Back
Top Bottom