Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umeelewa kilichoulizwa?We kijana kakukosha kwa lipi?
Hatukuuliza kabilaNi Mchaga wa machame hayo mengine siyajuhi.
Hakimu Simba ni legacy ya Mwendawazimu.Ninachojua alikuwa Hakimu Mkazi wa Ibilisi
Hakuna binadamu yoyote yule atakayejaribu kuihujumu Chadema na akabaki salama. Huyu naye litamkuta la kumkuta ni suala la muda tuHakimu Simba ni legacy ya Mwendawazimu.
Aliahidiwa ujaji kama angesaidia KUIUA CHADEMA. Na vile alikua na njaa akatekeleza dhuruma.
uzuri tunamfahamu mpaka kizazi chake na wajukuu zake. Ipo siku yake, hatutamsamehe.
Mpumbavu sana huyu anaeijiita Hakimu Simba. Kila nikiona kizazi chake natamani kukichinjilia mbali.Hakuna binadamu yoyote yule atakayejaribu kuihujumu Chadema na akabaki salama. Huyu naye litamkuta la kumkuta ni suala la muda tu
Tunakushukuru sana kwa taarifa hii muhimuHakimu Simba ni legacy ya Mwendawazimu.
Aliahidiwa ujaji kama angesaidia KUIUA CHADEMA. Na vile alikua na njaa akatekeleza dhuruma.
uzuri tunamfahamu mpaka kizazi chake na wajukuu zake. Ipo siku yake, hatutamsamehe.
Mh. Simba ni jembe la mwendazake! Alikuwa anatumia kwenye hukumu za kipumbavu za mwendazake!! Mama amtumbue huyu hakimu!!Si vibaya na wala haijawahi kuwa kosa kisheria kufahamu wasifu wa Mtumishi wa umma , hasa yule anayegusa maslahi ya watu wengi kwa kuhakikisha haki zao zinapatikana.
Binafsi namfahamu kidogo tu kama Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu , ameshiriki kwenye kuamua kesi kadhaa za wanasiasa na raia wengine .
Naomba sana kwa mwenye kufahamu wasifu wa Mh huyu atuwekee hapa , namaanisha Kiwango chake cha Elimu , shule alizosoma , alisoma na akina nani , uadilifu na uaminifu wake , mahali pengine alipofanya kazi , na aliondokaje , hukumu zake zilizopita na za karibuni , kwa ujumla ningependa kumfahamu kuhusu yote mnayoyafahamu juu yake .
Naomba kuwasilisha .
Kwani kuna mahali mleta mada ametaja kwamba anahitaji kabila lake?Ni Mchaga wa machame hayo mengine siyajuhi.
Asante kwa taarifa muhimuMh. Simba ni jembe la mwendazake! Alikuwa anatumia kwenye hukumu za kipumbavu za mwendazake!! Mama amtumbue huyu hakimu!!
usihangaike na watu duniKwani kuna mahali mleta mada ametaja kwamba anahitaji kabila lake?
Thomas Simba ni Mnyasa toka Mbamba Bay Ila amekulia Magereza Mbeya mpaka anapata elimu ya msingi.Si vibaya na wala haijawahi kuwa kosa kisheria kufahamu wasifu wa Mtumishi wa umma, hasa yule anayegusa maslahi ya watu wengi kwa kuhakikisha haki zao zinapatikana.
Binafsi namfahamu kidogo tu kama Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu, ameshiriki kwenye kuamua kesi kadhaa za wanasiasa na raia wengine.
Naomba sana kwa mwenye kufahamu wasifu wa Mh huyu atuwekee hapa, namaanisha Kiwango chake cha Elimu, shule alizosoma, alisoma na akina nani, uadilifu na uaminifu wake, mahali pengine alipofanya kazi, na aliondokaje, hukumu zake zilizopita na za karibuni, kwa ujumla ningependa kumfahamu kuhusu yote mnayoyafahamu juu yake.
Naomba kuwasilisha .
Ukichinjilie mbali?Mpumbavu sana huyu anaeijiita Hakimu Simba. Kila nikiona kizazi chake natamani kukichinjilia mbali.
Hii nchi salama yake ni katiba mpya, vinginevyo itaingia tu kwenye historia ya Rwanda.
Nakuelewa, haya maovu yalifanywa pia na Wilbard Mashauri ambaye aliwatolea dhamana Esther Matiku na Mbowe na Kisha wakasota rumande miezi kama 4.Ukichinjilie mbali?
Nani kakupa mamlaka hayo?
Unachotamani kufanya Ni kibaya kwa Kila namna