Naomba kufahamu bei ya pikipiki aina ya XR 250 mpya

Naomba kufahamu bei ya pikipiki aina ya XR 250 mpya

moudytz

Senior Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
150
Reaction score
182
Wakuu naomba kujua bei ya hii pikipiki ikiwa bado mpya kabsa kwa hapa Tanzania naipenda kuliko hata gari
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    33.5 KB · Views: 296
XR 250 hayo matoleo ya zamani kwa Sasa Honda wanazalisha CRF Kama mbadala wa uzao wa XR.

Kama unataka pikipiki ya kisasa chukua Honda CRF 250 Zina toleo la Racing na kawaida. Pia Zina mfumo wa fuel injection, electric starter na vitu kibao. Bei kwa mpya ni Kama USD 9000-11,000 bila wazee wa TRA kuitia miguu.
 
XR 250 hayo matoleo ya zamani kwa Sasa Honda wanazalisha CRF Kama mbadala wa uzao wa XR.

Kama unataka pikipiki ya kisasa chukua Honda CRF 250 Zina toleo la Racing na kawaida. Pia Zina mfumo wa fuel injection, electric starter na vitu kibao. Bei kwa mpya ni Kama USD 9000-11,000 bila wazee wa TRA kuitia miguu.
nimesha iendesha bado sana hajafikia hii mashine mkuu
stelingi yake nyepesi mno ukiipiga gia sawasawa ina hama
 
nimesha iendesha bado sana hajafikia hii mashine mkuu
stelingi yake nyepesi mno ukiipiga gia sawasawa ina hama
Mkuu CRF 250/450L sio nyepesi Kama unavyosema. Itakuwa ulitumia Racing edition ndio imepunguzwa uzito kuanzia frame na tyres inatumia za kawaida.

Toleo la kawaida nyuma inatumia Tyre pana Kama spare Tyre za gari na ya mbele ni pana pia.
 
Back
Top Bottom