Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
No breki hazikufeli, kawaida gari manual kama hio canter ikiwa gia namba 5 na mwendo wa highway kusimama ni ngumu yani unatakiwa upangue gears chap ndio ukate speed, tofauti na automatics ukikata speed tu kwa breki gear zinavuka zenyewe haraka na gari inasimama hata kama ulikuwa 150km/h!Huyu dereva wa hii truck
Ni kama alikuwa amechoka
Kingine naona kama breki zilifeli
Ova
Huyo jamaa kafosi breki bila kupangua gears na hakuwa na jinsi zaidi ya kuchochola.