Naomba kufahamu kuhusu Bachelor of Science in Chemistry

Naomba kufahamu kuhusu Bachelor of Science in Chemistry

Baba Genovivah

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
756
Reaction score
249
Hivi kozi ya bachelor of science in chemistry inahusika na nini hasa? i mean graduate anafanya kazi katika maeneo gani? pia accessibility yake katika suala la ajira ikoje? karibuni tuelimishane wakuu.
 
nipo udsm napiga hiyo kozi ni ya ukweli sana karibu udsm kijana
 
nipo udsm napiga hiyo kozi ni ya ukweli sana karibu udsm kijana


Wewe sidhani kama kweli unasoma Kemia, na kama ni kweli unasoma basi hautafika mbali, kwa maana unashindwa hata kitu rahisi kama Kusoma na kuelewa Hoja, utawezaje kuelewa Kemia? Umeelewa Mleta Mada anataka nini? Na wewe umemjibu nini?
 
graduate anafny kaz secta ipi mkuu!

taasisi mbalimbali za utafiti eg national institute of medical research (NIMR) taasisi za viwango eg TBS, and TFDA viwanda vya vinywaji na chakula, pharmaceutical industries, chemical labs,mahosipitalini migodini,,,,,,,hakuna maisha bila chemistry mind you every thing has got chemistry and am proud to be a chemist
 
Wewe sidhani kama kweli unasoma Kemia, na kama ni kweli unasoma basi hautafika mbali, kwa maana unashindwa hata kitu rahisi kama Kusoma na kuelewa Hoja, utawezaje kuelewa Kemia? Umeelewa Mleta Mada anataka nini? Na wewe umemjibu nini?

mkuu umeshindwa kuelewa nini hapo hiyo ni summary tu na inaeleweka kabisa sasa hapa nakua na wasiwasi na uelewa wako
 
Ualimu unakuhusu ukishagraduate, hio course kibongobongo hailipi kabisaa, kuna chalii yangu anasota amemaliza hapa usdm 2013 mpaka now ameamua kukamata chaki, na amemaliza vizur na GPA ya kutosha
 
taasisi mbalimbali za utafiti eg national institute of medical research (NIMR) taasisi za viwango eg TBS, and TFDA viwanda vya vinywaji na chakula, pharmaceutical industries, chemical labs,mahosipitalini migodini,,,,,,,hakuna maisha bila chemistry mind you every thing has got chemistry and am proud to be a chemist

shukrani sana mkuu afu hivi inawezekana postgraduate ukapga masters of science in industrial pharmacy?au masters of science in clinical/hospital medicine and quality control?
 
Unaweza kupata kaz yeyote ili kulingana na hiyo kozi lia kazi zitakua za uhakika zaidi ukipostgraduate. Hapa tz kwa medicine watakutaka ukaanze tena undergraduate. kumbuka pia utakua kwenye competition na watu wa Bsc in chemicals and processing eng na watu wa Bsc in lab technology.Ushaur wang piga hiyo umalize then usichelewe kupostgraduate make utajikuta umekua mwalimu wa sec bila kutegemea.
 
Unaweza kupata kaz yeyote ili kulingana na hiyo kozi lia kazi zitakua za uhakika zaidi ukipostgraduate. Hapa tz kwa medicine watakutaka ukaanze tena undergraduate. kumbuka pia utakua kwenye competition na watu wa Bsc in chemicals and processing eng na watu wa Bsc in lab technology.Ushaur wang piga hiyo umalize then usichelewe kupostgraduate make utajikuta umekua mwalimu wa sec bila kutegemea.

mkuu nimekusoma sanaaa
 
Ualimu unakuhusu ukishagraduate,hio course kibongobongo hailipi kabisaa,kuna chalii yangu anasota amemaliza hapa usdm 2013 mpaka now ameamua kukamata chaki,na amemaliza vizur na GPA ya kutosha



We jamaa mi hua sikuelewi kabisa, kila course hapa TZ una ndugu yako aliyemaliza... what a toss up, dude??

Kuna tutor kabakizwa hapa UDSM, alisoma hiyo chemistry 2013, tulikua tunapiga nae story za maisha...alitueleza vingi, profoundly a bright future for chemists.

Jamaa ambao alimaliza nao 2013, 80% waliajiriwa direct wuzara ya afya na ustawi wa jamii, wengine wakaenda zenufa pharmaceutical na wachache wapo afren TZ.
Jamaa alikua anajilaumu kubaki chuo, hasa akicheki post walizopata wenzao...
It's delight for him, now that he's won BG sponsorship to undertake Master's degree in oil & gas, Canada.

Cheza mbali na course za CoNAS + CoET
 
Unaweza kupata kaz yeyote ili kulingana na hiyo kozi lia kazi zitakua za uhakika zaidi ukipostgraduate. Hapa tz kwa medicine watakutaka ukaanze tena undergraduate. kumbuka pia utakua kwenye competition na watu wa Bsc in chemicals and processing eng na watu wa Bsc in lab technology.Ushaur wang piga hiyo umalize then usichelewe kupostgraduate make utajikuta umekua mwalimu wa sec bila kutegemea.

asante mkuu
 
We jamaa mi hua sikuelewi kabisa, kila course hapa TZ una ndugu yako aliyemaliza... what a toss up, dude??

Kuna tutor kabakizwa hapa UDSM, alisoma hiyo chemistry 2013, tulikua tunapiga nae story za maisha...alitueleza vingi, profoundly a bright future for chemists.

Jamaa ambao alimaliza nao 2013, 80% waliajiriwa direct wuzara ya afya na ustawi wa jamii, wengine wakaenda zenufa pharmaceutical na wachache wapo afren TZ.
Jamaa alikua anajilaumu kubaki chuo, hasa akicheki post walizopata wenzao...
It's delight for him, now that he's won BG sponsorship to undertake Master's degree in oil & gas, Canada.

Cheza mbali na course za CoNAS + CoET

hapo pouwa mkuu
 
We jamaa mi hua sikuelewi kabisa, kila course hapa TZ una ndugu yako aliyemaliza... what a toss up, dude??

Kuna tutor kabakizwa hapa UDSM, alisoma hiyo chemistry 2013, tulikua tunapiga nae story za maisha...alitueleza vingi, profoundly a bright future for chemists.

Jamaa ambao alimaliza nao 2013, 80% waliajiriwa direct wuzara ya afya na ustawi wa jamii, wengine wakaenda zenufa pharmaceutical na wachache wapo afren TZ.
Jamaa alikua anajilaumu kubaki chuo, hasa akicheki post walizopata wenzao...
It's delight for him, now that he's won BG sponsorship to undertake Master's degree in oil & gas, Canada.

Cheza mbali na course za CoNAS + CoET

mkuu hapa CoNAS unapiga kozi gani?
 
We jamaa mi hua sikuelewi kabisa, kila course hapa TZ una ndugu yako aliyemaliza... what a toss up, dude??

Kuna tutor kabakizwa hapa UDSM, alisoma hiyo chemistry 2013, tulikua tunapiga nae story za maisha...alitueleza vingi, profoundly a bright future for chemists.

Jamaa ambao alimaliza nao 2013, 80% waliajiriwa direct wuzara ya afya na ustawi wa jamii, wengine wakaenda zenufa pharmaceutical na wachache wapo afren TZ.
Jamaa alikua anajilaumu kubaki chuo, hasa akicheki post walizopata wenzao...
It's delight for him, now that he's won BG sponsorship to undertake Master's degree in oil & gas, Canada.

Cheza mbali na course za CoNAS + CoET

Acha uongo kijana,unapewa story za kusadikika,muingize chaka mwenzako,huyo Mdada anaitwa Mary kapwani na nilicomfuse amemaliza 2012 sio 2013,..kama una graduate wa mwaka huo muulizie,hio kupata kazi ni 20% but sana sana ni chaki,na cku hizi huo utaratibu wa kubakishwa umeshaisha,wanatoa tangazo mnaomba,best student wa UDSM yote 2010 anaitwa Salome amemaliza computer science but mpaka walipotoa tangazo la kazi ndio aliomba ndio wakamuajiri,hakuna tena kushikwa mkono kubakishwa siku hizi,
 
Ualimu unakuhusu ukishagraduate,hio course kibongobongo hailipi kabisaa,kuna chalii yangu anasota amemaliza hapa usdm 2013 mpaka now ameamua kukamata chaki,na amemaliza vizur na GPA ya kutosha

usdm ndo chuo gani! na wasiwasi na ww
 
na mie nimechagua bachelor of
science hortculture sua kwenye
second round selction lakini
sifahamu hii course ipoje na ajira
zake naomba kwa anayefahamu
anijibu please
 
Back
Top Bottom