Naomba kufahamu makadirio ya bati na mbao kuezeka nyumba hii

Naomba kufahamu makadirio ya bati na mbao kuezeka nyumba hii

Itabidi tuwasiliane ndg maana hapa nilikuwa natoa elimu ili kila mmoja aweze kufanya makadirio mwenyewe, in case kama mtu atataka nimfanyie makadirio hiyo tena itakuwa ni biashara

Dm tumeluka
 
BATI (92pcs)
No of Sheet = (11×9)÷(0.6×2.7)×1.5 = 92 sheets

Twende kwenye uhalisia kuproove
Tuassume nyumba yako haina kona kona hivyo tunapaua kwa mgongo wa tembo

Kama utatumia angle ya 45, king post itakuwa ni nusu ya urefu wa tie beam.
Kingpost = 0.5×9= 4.5m
Rafter = sqrt(4.5²+4.5²)= 6.3m+ Overhang (0.3m)= 6.6m

Idadi ya bati per roofing line = (11m+Overhang (0.4×2))/0.6 = 19.6 (approx 20)

Katika 6.6m zinaingia bati 2 na kubaki uwazi wa 1m
Jumla ya bati nzima = 2x20x2 = bati 80 (pande zote mbili)
Bati moja vinaingia vipande vya 1m vitatu, na jumla vinahitajika vipande 40 (20 upande mmoja, 20 upande mwingine)
Jumla ya bati za kuziba vipande = 40/3 = 13.3

JUMLA = 80+13 = Bati 93


MBAO 2×4 (125pcs), MBAO 2x2 (40pcs)
Idadi ya kench = (11m/1.2m)+1 = 10
Kench moja huwa inatumia mbao mara 5 ya urefu wa tie beam
So idadi ya mbao (2×4) = (10x5x9)/3.6 = 125

Mbao za 2x2 = (11m+0.4mx2)×6×2/3.6= 39.3 (Approx 40)

MISUMARI YA BATI 15PKT
No of pkt = (92 /6)= 15

Summary
Bati 92pcs to 94pcs
Mbao 2x4 125pcs
Mbao 2x2 40pcs
Misumari ya bati 15 pakt
@Njuka II Mkuu unaweza nisaidia makadirio kwa nyumba yenye vipimo hivi (13.15x12.9)
 
@Njuka II Mkuu unaweza nisaidia makadirio kwa nyumba yenye vipimo hivi (13.15x12.9)
Mkuu mimi nimeshawaelekeza ili mfanye wenyewe, hapo ni sawa nimewapatia ndoano badala ya samaki

Ukitaka nikufanyie mimi hayo mahesabu, unakuja na plan/ sketch yako yenye vipimo tuongee kibiashara ili tufanye mahesabu kiusahihi
 
BATI (92pcs)
No of Sheet = (11×9)÷(0.6×2.7)×1.5 = 92 sheets

Twende kwenye uhalisia kuproove
Tuassume nyumba yako haina kona kona hivyo tunapaua kwa mgongo wa tembo

Kama utatumia angle ya 45, king post itakuwa ni nusu ya urefu wa tie beam.
Kingpost = 0.5×9= 4.5m
Rafter = sqrt(4.5²+4.5²)= 6.3m+ Overhang (0.3m)= 6.6m

Idadi ya bati per roofing line = (11m+Overhang (0.4×2))/0.6 = 19.6 (approx 20)

Katika 6.6m zinaingia bati 2 na kubaki uwazi wa 1m
Jumla ya bati nzima = 2x20x2 = bati 80 (pande zote mbili)
Bati moja vinaingia vipande vya 1m vitatu, na jumla vinahitajika vipande 40 (20 upande mmoja, 20 upande mwingine)
Jumla ya bati za kuziba vipande = 40/3 = 13.3

JUMLA = 80+13 = Bati 93


MBAO 2×4 (125pcs), MBAO 2x2 (40pcs)
Idadi ya kench = (11m/1.2m)+1 = 10
Kench moja huwa inatumia mbao mara 5 ya urefu wa tie beam
So idadi ya mbao (2×4) = (10x5x9)/3.6 = 125

Mbao za 2x2 = (11m+0.4mx2)×6×2/3.6= 39.3 (Approx 40)

MISUMARI YA BATI 15PKT
No of pkt = (92 /6)= 15

Summary
Bati 92pcs to 94pcs
Mbao 2x4 125pcs
Mbao 2x2 40pcs
Misumari ya bati 15 pakt
Mwamba umeiva na kuungulia kbsaaaaa hongera
 
BATI (92pcs)
No of Sheet = (11×9)÷(0.6×2.7)×1.5 = 92 sheets

Twende kwenye uhalisia kuproove
Tuassume nyumba yako haina kona kona hivyo tunapaua kwa mgongo wa tembo

Kama utatumia angle ya 45, king post itakuwa ni nusu ya urefu wa tie beam.
Kingpost = 0.5×9= 4.5m
Rafter = sqrt(4.5²+4.5²)= 6.3m+ Overhang (0.3m)= 6.6m

Idadi ya bati per roofing line = (11m+Overhang (0.4×2))/0.6 = 19.6 (approx 20)

Katika 6.6m zinaingia bati 2 na kubaki uwazi wa 1m
Jumla ya bati nzima = 2x20x2 = bati 80 (pande zote mbili)
Bati moja vinaingia vipande vya 1m vitatu, na jumla vinahitajika vipande 40 (20 upande mmoja, 20 upande mwingine)
Jumla ya bati za kuziba vipande = 40/3 = 13.3

JUMLA = 80+13 = Bati 93


MBAO 2×4 (125pcs), MBAO 2x2 (40pcs)
Idadi ya kench = (11m/1.2m)+1 = 10
Kench moja huwa inatumia mbao mara 5 ya urefu wa tie beam
So idadi ya mbao (2×4) = (10x5x9)/3.6 = 125

Mbao za 2x2 = (11m+0.4mx2)×6×2/3.6= 39.3 (Approx 40)

MISUMARI YA BATI 15PKT
No of pkt = (92 /6)= 15

Summary
Bati 92pcs to 94pcs
Mbao 2x4 125pcs
Mbao 2x2 40pcs
Misumari ya bati 15 pakt
Mahesabu haya ni magumu,ni kwa mafundi wazoefu.
 
Back
Top Bottom