Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Si bure tabia zote nlizoorodhesha hapo unazo.Pole sana tushakujua
Ndiyo ninazo zote hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bure tabia zote nlizoorodhesha hapo unazo.Pole sana tushakujua
😜😜😜😜Ndiyo ninazo zote hapo.
Mimi mwenyewe simara..
hujaongopa Nkamu umesema ukweli mtupuNa wewe likely utakuwa ni tall dark guy maana mabros wengi wa Kinyaki inasemekana ni dark tall guys na wanapendwa sana na mabinti Tanzania nzima na duniani kote. Akina nkamu Heaven Sent, Kelsea, Hannah, Mummy Love, financial services na Simara kwani nasema uwongo dada zangu? Akiwa siyo tall dark guy huyu, bado ana haki ya kujiita Mnyaki?
View attachment 2344891
🤣🤣🤣🤸🤸
Mkuu emu nipe hizo features from the front page hapo juukwangu huwa rahisi sana kuwatambua wabena na wakinga hata nisiposikia rafundi yao,huwa nikiona muonekano wa sura najua huyu kama si mbena ni mkinga.
Duuuh...waliangalia vigezo ganniliwahi kwenda bukoba nikawa nasalimiwa kihaya wakijua natokea huko.
Unazungumzia mizigo ipi mkuu?Wanyakyusa mademu wengi wanamizigo balaa
Umesema ukweli mkuuWanyaki sio wachoyo kweny vyakula Ile mijamaa Haina dhiki za vyakula kabisa miviazi,miparachi,mindizi,miwali Yani kwao imejazana tu sema shida Yao moja wanajikubali sana ila kabila lao ni moja kati ya makabila yenye wanawake wenyeheshima na kufanya kazi Kwa bidii
sijui aisee, wanasema nafanana nao.Duuuh...waliangalia vigezo gan
Labda unapiga sana ngeli .,..+ kujimwambafai[emoji23][emoji23]sijui aisee, wanasema nafanana nao.
Kukanwa liNi wabinafsi mno, wanajiiona wao ndio wao kumbe vichwa maboga, wanavipaji, wanapenda kuamuliwa na familia sio wao wenyewe.....mwisho ni washamba hapo sio sana, ngoja nmalizie awaambiliki
Lileke itolo.....kukanwa ngati ngwitwa ( bundi) [emoji23][emoji23][emoji23]Kukanwa li
Ndaga nkamu. You are missed dearNdiyo ninazo zote hapo.
Unamaanisha lafudhi zao zinafanana?Mhaya na mhehe ndugu wa tumbo moja
Miss you more NkamuNdaga nkamu. You are missed dear
Nkamu na Mwaisa ina maana mtu wa nyumbani (Mnyakyusa mwenzetu) ( hii tafsiri sio rasmi lakini )Nini maana ya Nkamu na mwaisa??
Nataman kujua japo b