Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

kwangu huwa rahisi sana kuwatambua wabena na wakinga hata nisiposikia rafundi yao,huwa nikiona muonekano wa sura najua huyu kama si mbena ni mkinga.
Mkuu emu nipe hizo features from the front page hapo juu

Natanguliza mkono wa shukhurani pale utakapo funguka
 
Umesema ukweli mkuu
 
Ni wabinafsi mno, wanajiiona wao ndio wao kumbe vichwa maboga, wanavipaji, wanapenda kuamuliwa na familia sio wao wenyewe.....mwisho ni washamba hapo sio sana, ngoja nmalizie awaambiliki
Kukanwa li
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…