Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

Mbona Mimi naonekana mhaya wakati ni mzaliwa wa green city
 
Wanyaki wanatokea Sandhust Uingereza, wewe ulikuja mwaka gani Tanzania kwani kuna jirani yangu alikuwa anaishi East Sandhust anafanana sana na wewe.
 
Wanyaki ni watu wenye hofu ya mungu
Sio wachoyo kwenye misosi
Wanapenda kusaidiana wakikutana mbali na mkoa wao
Wanapenda familia zao
Sio wabishi
Ni wachapakazi
Wakikutana sehemu wakijua ni wanyaki wataunda undugu kabisa ata kama mmoja ni wa kyela mwengine ni WA uyole.
Wabinafsi, hawapendi kudeka deka,
Wananguvu Sana wanamiili mikubwa mfano ZOLA D
wanaume wakioa kutoa talaka ni mbinde Sana huwa hawaachi kirahisi hila wanaongezaga nyumba ndogo ndio maana wazee wao WA zamani walikua wanaoa wake zaidi ya mmoja na wote wanaishi hapohapo nyumba moja.
Wanaroho ngumu makaburi Yao yapo upenuni mwa nyumba ya ukoo.


Wanaume wengi wao ni wapole watanashati na wanaongea Kwa nukta.
Lakin wanawake ni wakali wanapenda nyumba zao ziwe safi wanajipenda na ni wachapakazi ndio maana mpaka sasahivi tangu zamani desturi ya tukuyu na sehem zngne za mbeya utakuta mwanaume akishatoka shambani asubui akirud nyumbani anapumzika analisha mifugo yake. lakini mwanamke YEYE akitoka shambani anapitiliza sokoni kupeleka mazao kuuza

Wanawake wakinyaki ni wachapakazi Sana hawapendi kukaa nyumbani Bila KAZI ndio mana ikifika siku za gulio mwenye maharage mwenye karanga mwenye ndizi
Mwenye magimbi nk atapeleka kuuza sokoni kufanya biashara.

Mimi ni mnyaki pure wa kiwira hila Babu yangu aliwahi niambia asili yao ni joberg South Africa.
 
1. Wana majivuno yasiyo na sababu
2. Wanapwnda mashindano hasa ugomvi wa kitoto
3. Wamejaa kiburi
4. Waba uhaya flani hivi
 
Kuna mume wa rafiki yangu mnyaki amebrikiwa vitu ulivyovitaja ila yule jamaa ni mchafu wa tabia kwakweli umetoa reference ya ukweli halafu ni asilimia kubwa.
 
Kuna mume wa rafiki yangu mnyaki amebrikiwa vitu ulivyovitaja ila yule jamaa ni mchafu wa tabia kwakweli umetoa reference ya ukweli halafu ni asilimia kubwa.
Ni balaa
 
Mutwangalile twe bha mwaisa loli.Uswe tukulya abhakambani na bha mwamunyila,amasimbi,amatoki gha kokya na matakapela,kangi tukunwa ulukama fyo bhene tuli ni mibhili iminywamu na maka mingi fijho linga kwisa mummbili nkulwa nanine ngukusopania pasi ngufwana ngusopa imipupa imiumi.Tulinimboto kumyitu ifindu fikelilwe fijho fyobhene na muntu tulinamahala fijho
 
Imbatata,...,... Kitomoto ni mbalaga[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…