Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyaki wanatokea Sandhust Uingereza, wewe ulikuja mwaka gani Tanzania kwani kuna jirani yangu alikuwa anaishi East Sandhust anafanana sana na wewe.Habari, naomba kujuzwa kidogo kuhusu tabaia/sifa za watu wa mkoa wa Mbeya hasa (Wanyakyusa). Wanasifa gani tofauti na za makabila mengine hasa Wanaume wa kinyakyusa(Distinctive features)?
Kwanini nauliza?
Well, kwa sababu zangu binafsi. Mara nyingi napenda kujitambulisha kabila langu kua ni "msukuma" na naongea kisukuma pia somehow. Bahati mbaya sana huwa japo najitambulisha kama msukuma ila hua wanakataa na kusema mimi ni mnyaki.
Eneo nililopo sasa wananiita mnyaki na wengine hupenda kuniuliza habari za Mbeya ila Sijawahi kufika Mbeya hata siku moja. Nikiuliza kwanini mnadhani mimi ni mnyaki wanasema wanyaki wanaume sura/muonekano wao haujifichi.
Kilichofanya nichukulie serious hii ishu ni jambo lililotokea wiki hii, nilienda mahali fulani kupata huduma unfortunately some inconvenience emerged and it was kinda a no-go on my service. Ila mtoa huduma mdada akaniambia nakusadia tu kwakua wewe ni "wakwetu." Nilishtuka kidogo nikauliza kwenu wapi? Akajibu Mbeya!
Nikauliza umejuaje mimi natokea mbeya? Akasema pia sura yako inaonyesha ni myakyusa😅, ili nisikose huduma ikabidi nikubali tu.
Hear, Hear
Nijuze sifa za watu hawa ili nijue kwanini nami nachukuliwa hivyo!
I want to embrace it, nianze kujitambulisha kama mnyakyusa.✌️
utakuwa kwa sababu ni Mweusi sanaMbona Mimi naonekana mhaya wakati ni mzaliwa wa green city
Kipimo cha mweusi sana kipiutakuwa kwa sababu ni Mweusi sana
Kama Mzee Odinga.Kipimo cha mweusi sana kipi
Mbona mimi sina kiburi, nini kmekufanya uhisi hivyo?Nilikua najua wewe ni muhehe
Kuna mume wa rafiki yangu mnyaki amebrikiwa vitu ulivyovitaja ila yule jamaa ni mchafu wa tabia kwakweli umetoa reference ya ukweli halafu ni asilimia kubwa.Weusi
Uso mpana kidogo unaoenda na mwili tough kidogo
Urefu wa kati
Moyo wa huruma na kusaidia watu wenye uhitaji ni wepesi
Shangwe(ucheshi)na Kila mtu ila Kaz kupeana ni kiundugu kias (wachaga wametuzidi hapa)
Uongeaji na kujisifu kiasi(wahaya wametuzidi hapa)
Upole Kwa wake zao ila nje wanatembeza(mbwa amezidiwa hapa)😉
😂😂unanioneaUkiburi wako ndio😩
Ni balaaKuna mume wa rafiki yangu mnyaki amebrikiwa vitu ulivyovitaja ila yule jamaa ni mchafu wa tabia kwakweli umetoa reference ya ukweli halafu ni asilimia kubwa.
🙄Kuniblock😩
Nitakuja Pm mana hapa sielew😞😞😥😥
Imbatata,...,... Kitomoto ni mbalaga[emoji23][emoji23]Mutwangalile twe bha mwaisa loli.Uswe tukulya abhakambani na bha mwamunyila,amasimbi,amatoki gha kokya na matakapela,kangi tukunwa ulukama fyo bhene tuli ni mibhili iminywamu na maka mingi fijho linga kwisa mummbili nkulwa nanine ngukusopania pasi ngufwana ngusopa imipupa imiumi.Tulinimboto kumyitu ifindu fikelilwe fijho fyobhene na muntu tulinamahala fijho
HapanaUnamaanisha lafudhi zao zinafanana?