Kwani huoni? Nan ambeya hajui ? Ushamba uko damuni wajanja ni wachache sanaNini maana ya ushamba we njanga? Umetumia vigezo gani kusema Wasukuma na Wanyakyusa ndio washamba?
Hapo kwenye kazi kupeana kindugu umegusa penyewe huwa wana umimiWeusi
Uso mpana kidogo unaoenda na mwili tough kidogo
Urefu wa kati
Moyo wa huruma na kusaidia watu wenye uhitaji ni wepesi
Shangwe(ucheshi)na Kila mtu ila Kaz kupeana ni kiundugu kias (wachaga wametuzidi hapa)
Uongeaji na kujisifu kiasi(wahaya wametuzidi hapa)
Upole Kwa wake zao ila nje wanatembeza(mbwa amezidiwa hapa)[emoji6]
Napenda maumbo yenu [emoji3526]Tulipo wakukaja.
We jamaa wewe😅😅Wanakuwaga na sura za mviringo na mashavu yaliyoanzia kwenye macho huku lipsi zikiwa zimenyanyuka kwa sababu ya kusalimiana "Tununu" daily .
Kwenye kile kipindi cha Matukio cha Redio Free asilimia kubwa ya matukio yalikua yanatoka mbeya. Mara mtu kachunwa ngozi mara mtu kunyonywa damu😅Ndio ushangae sasa mimi ninavyojua wanyakyusa ni watu wa misifa amshaamsha kama zote maneno kibao! Na ndio maana wanaongoza kuteka akili za watu kwa maneno tu we chukulia mfano pastor mgogo, mzee wa upako, burudozer, na wengine wengi bila kumsahau babu wa loliyondo aliye wauzia vikombe maelfu ya watu. Hawa jamaa wako vzr hata ukifwatili tasnia ya habari, Michezo, na burudani wamejaa sana huko.
Kuna mzungu mmoja ni pastor huku chuga alikuja dukani nilikua niko nam -Close Up mdada fulani wa kizungu nipate japo namba huyu pastor aliniharibia aisee. Anaongea kimasai balaa na kiswahili kama cha hao machalii wa Ngarero na ngalimited utadhani ni mmasai kabisa. I real need some copious details kuhusu wanyaki nami niwe mnyakiNi watu wa kujichanganya sana.
Kuna Mhindi mmoja Alikuwa Mbeya anaitwa Patel alikuwa na basi Mitsubishi Rosa alioa mwanamke wa Kinyakyusa na alikuwa anapenda Kinyakyusa mpaka akawa anajiita Kaka Banyambala, pia alikuwa mdhamini wa timu ya Tukuyu Stars.
Miaka ya 2007 Kuna wazungu nilikutana nao Tukuyu mjini wanaongea Kinyakyusa mpaka unashangaa
Sababu zinavaliwa sana na watu wa kigomaHivi kwanini watu wana associate kitambaa mixer vitenge na ulokole 😂
Oya upo mbalizi sehem gani tarafani,iwambi,au kule karibu na Wenda,maana mbalizi kubwa kweliInawezekana jina lako hasa la ukoo / ubini linaanza na Mwa. Hata mimi watu wengi huniambia ni mchaga na kiuhalisia sio mchaga
Nawapenda sana aina nyie ila tatizo mapenzi yalishanikifu mkuu....we huoni ninavyochezea vichwa vya watu humu....naburudika kufanya Ivo Lakini moto wa kuwa na Mpenz sina....hata Ivo mwisho wa siku tunazikwa.Nayachukia mapenzi kiukweliBeesmom niwahi tall and dark jf nimebaki mimi tu😅🏃🏃
Nataka nijifunze kua mnyaki aisee inawezekana nikapata fursa nyingi. Ajitolee mmoja anifunze.Hapo kwenye kazi kupeana kindugu umegusa penyewe huwa wana umimi
Mimi miongoni mwa makabila nilichanganyia upande wa mama unyakyusa upo na nina jina la huko
Na nasema ukweli kuna kazi ambazo nilishawahi kufanya nilizipata kwa sababu ya jina .. kwenye interview Kama wapo kwenye panel na kwakua hawa watu ni wasomi hivyo wana nafasi za juu ukiitwa jina wanajua huyu ni wa nyumbani tayari umepita kwanza badala ya kukuuliza maswali ya interview utaskia unatoka mbeya sehemu gani na mimi siwezi kukana kwamba mimi sio mnyakyusa labda ni mzaramo au mndengereko mwenye jina la kinyakyusa nilolitoa kwa mama no way na mbeya kwenyewe sipajua basi nakubali naenda na flow nisokose fursa [emoji1787]
Inabidi upewe dada wa Kinyakyusa awe trainer wako utachagua Ikupa,Bupe,Tusekile,Atuganile,Gwantwa au Negwako.Kuna mzungu mmoja ni pastor huku chuga alikuja dukani nilikua niko nam -Close Up mdada fulani wa kizungu nipate japo namba huyu pastor aliniharibia aisee. Anaongea kimasai balaa na kiswahili kama cha hao machalii wa Ngarero na ngalimited utadhani ni mmasai kabisa. I real need some copious details kuhusu wanyaki nami niwe mnyaki
😥🙏Nijaribu mimi I'm many things but not boring person. Yo gonna love it ✌️
Thubutuuu 🤣🙌Tuma picha yako pm nione.