Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

Ndio ushangae sasa mimi ninavyojua wanyakyusa ni watu wa misifa amshaamsha kama zote maneno kibao! Na ndio maana wanaongoza kuteka akili za watu kwa maneno tu we chukulia mfano pastor mgogo, mzee wa upako, burudozer, na wengine wengi bila kumsahau babu wa loliyondo aliye wauzia vikombe maelfu ya watu. Hawa jamaa wako vzr hata ukifwatili tasnia ya habari, Michezo, na burudani wamejaa sana huko.
Heaven Sent kumbe kipaji unacho ila umekikalia tu🙆🙆🙆
 
Wanyakyusa wengi ni walokole.....kwanza kumwombea mnyakyusa pepo alipuke sio rahisi ni shughuli kweli kweli kwasababu wengi wao wanasumbuliwa na mapepo ya mamizimu hayatokagi kizembe ndio maana watumishi wa kule wamesimama...wanyakyusa wanamazindiko makubwa ndio maana mizimu yao ni mikali sana..halafu wengi wanamatege
 
Wanyakyusa wengi ni walokole.....kwanza kumwombea mnyakyusa pepo alipuke sio rahisi ni shughuli kweli kweli kwasababu wengi wao wanasumbuliwa na mapepo ya mamizimu hayatokagi kizembe ndio maana watumishi wa kule wamesimama...wanyakyusa wanamazindiko makubwa ndio maana mizimu yao ni mikali sana..halafu wengi wanamatege
Heaven Sent Saint Anne mama Mchungaji toeni neno tafadhali juu ya tuhuma hizi😅
Eti wengi wana matege🏃
 
Weusi
Uso mpana kidogo unaoenda na mwili tough kidogo
Urefu wa kati
Moyo wa huruma na kusaidia watu wenye uhitaji ni wepesi
Shangwe(ucheshi)na Kila mtu ila Kaz kupeana ni kiundugu kias (wachaga wametuzidi hapa)
Uongeaji na kujisifu kiasi(wahaya wametuzidi hapa)
Upole Kwa wake zao ila nje wanatembeza(mbwa amezidiwa hapa)[emoji6]
Duuuh
 
Me wananiambiaga maspota ige[emoji1787][emoji1787] wanajuaga me mhaya kumbe hayo maspota yenyewe siyajui [emoji849][emoji849]sijui wanaiona sifa GANI ya kihaya kwangu hapo tukiondoa umalaya na misifa.
 
Back
Top Bottom