Naomba kufahamu umri wa Bwana Kangi Lugola

[emoji23]lugola katumbuliwa ?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Basi Lugola alichelewa sana kuanza shule. Au alifeli la saba akarudia sana tena sana. Tatizo hawa wanasiasa utasikia tu wamesoma wapi na wapi ila miaka ipi hawasemi. Bashite nae haijulikani secondary alimaliza mwaka gani.
JPM amefundisha Sengerema sekondari mwaka 1983- 84. Akitokea chuo cha Ualimu Mkwawa.
 
Chuo kikuu,vyuoni huko sawa. Maana wengine wanatoka makazini. Secondary jamani ? ?????
miaka ile siyo kma sasa mathalani mm nmesoma pembezon mwa mji.. form 1 mm nlikua na miaka 16 na ndo nlikua mdgo kabisa wakati mkubwa alikua na 28, sijui hapa unapata picha??: zaman kuna waliochelewa kuanza shule especially miaka ya 80's kuna mzee hapa anakwambia kamaliza std 7 ana 24

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?

Mimi nadhani kwa kanda ya ziwa inawezekana, kama endapo Magu aliwahi kuanza kusoma na Kangi alichelewa,kwa maana miaka ya nyuma kanda ya ziwa kuna baadhi ya watu walikuwa wanachelewa sana kuanza shule.


Alexander
 
Magu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?

Mbona kitu rahisi tu hapo kuelewa, kwa mfano mimi nina miaka 28 lakini naweza nikawa namfundisha mtu ambaye ana miaka 30. Kuwa mkubwa kiumri haikataivkuwa mwanafunzi kwa mwanafunzi kwake anayekuzidi umri. Kwa fani mwingine, Vyuo vikuu kuna vijana wamepata nafasi ya kuwa lecturers katika umri mdogo, kuna watu wenye umri mkubwa zaidi yao wanafundishwa nao. Kwahiyo m tu, suala la umri hata lisikupe tabu. Kangi ni mwanafunzi wa mzee Jpm na pia JPM pia ni mkubwa kiumri kwa Kangi


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Kangi maana yake kengine(kitu kingine)
Lugola maana yake mtia aibu (mwenye kutia aibu)
Huyo jamaa ni msukuma nafikiri Mara ni wahamiaji tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana pia Magu hajazaliwa 1959, labda ni nyuma zaidi ya hapo
 
Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi

Alikuwa ni Mwalimu Sengerema Secondary.
 
Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
Hapo kuna mawili, ni either mtumbuliwa alichelewa kuanza elimu au zamani kulikuwa na kautamaduni mtu akifeli darasa la saba anapewa jina la mwanafunzi mwingine pengine aliyekuwa darasa la 5 Ila hakuendelea na shule.
 
wewe elewa moja kuwa kenge lugola kafundishwa na Rais. Ina maana huamini kauli ya Rais.!!!! Mbona una roho za kwa nini!?
 
Huyo mwamba noma.
Msalimie sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…