Kangi alikuwa na demu hata wa kihayaMh JPM ametufundisha Sengerema Sekondary mwaka 1983 mwishoni hadi 1984...wakati huo Kangi alikuwa Form 3(1983) Mh Jpm alikuwa bado kijana mdogo wa wastani wa miaka kama 25,,,Bwana Kangi alikuwa ni moja ya wanafunzi wakubwa shuleni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani walisoma wamezeeka, wamekaa wametafuta maisha wakarudi shule....inawezekanaMagu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
teenagerNimeshangazwa sana na maneno ya Rais Magufuli wakati akimtumbua Lugola kuwa aliwahi kuwa mwanafunzi wake Sengerema Secondary wakati nikimtazama Rais Magufuli na Lugola ni kama Lugola ni mzee kuliko Magu
sasa kwa wanaojua umri wa bwana Lugola wanifahamishe tafadhari
Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi
universal primary educationUPE?
Mie simo shauri yakoMagu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
Dada mbona ni rahisi tu kujua? Ninachojuwa Magu alishafundisha Sengerema Secondary miaka ya 80s. Cheki Biograph ya Magu utajua zaidi pia fuatilia historia ya Sengerema Secondary!Mhuuuuum. Kutokana na historia ya Magufuli hakuna sehemu alijitolea. Any way labda. Tena Sengerema secondary ni goverment. Labda.
Kama alianza form one 1981 means alikuwa na miaka 15 Ina maana anamiaka 55 Ni sawa, Sasa mwl by then alikuwa na mingapi?Inawezekana sana. Tena enzi hizo, mtu anamaliza la 7 anarudi la 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia Lugola nilikuwa naye Songea Boy's ambako alisoma HGE mwaka 1985 - 1988 tena alikuwa Head Prefect tena mnoko kwa sanaMagu siyo wa upe. Alimaliza Six mwaka 1981 .Mwaka huo huo akaanza chuo mkwawa. Najiuliza Dilpoma ya ualimu ilikuwa miaka mingapi ? Maana Kangi nae kaanza form one 1981 akamaliza 1984.
Pia kwa upande wa Magu kamaliza six Mkwawa high school na kusoma diploma hapo hapo.
Ina maana mkwawa ilikuwa secondary pia ilikuwa chuo cha diploma Ualimu ?
Kangi Lugola ni mjita wa Kibara jimbo la Mwibara wilayani Bunda mkoa wa MaraKangi Lugola ni msukuma wa mkoa gani?
Baada ya Sengerema ndo alikwenda Songea. Vipi alipata division gani A level ?Pia Lugola nilikuwa naye Songea Boy's ambako alisoma HGE mwaka 1985 - 1988 tena alikuwa Head Prefect tena mnoko kwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaahahah.Mie simo shauri yako
JPM hakusoma form five/six. Alisoma "Sub Comb" ambayo baada ya miaka miwili ilikuwa unakuwa mwalimu kamili wa sekondari.Mbona inawezekana kabisa. Ina maana wanapishana miaka 4. Hivyo JPM alioomaliza F6 akaenda kufundisha alimkuta Lugora F3 au F4. Sii ajabu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Magu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
Hapo kangi naona alisoma akiwa kijeba.Basi Lugola alichelewa sana kuanza shule. Au alifeli la saba akarudia sana tena sana. Tatizo hawa wanasiasa utasikia tu wamesoma wapi na wapi ila miaka ipi hawasemi. Bashite nae haijulikani secondary alimaliza mwaka gani.
Mkwawa ilikuwa ni Sekondari lakini Serikali ikaweka programu maalum ya Diploma, ukichaguliwa Mkwawa Sekondari miaka hiyo na ukafanya mtihani wa kumaliza kidato cha 6 na ukafaulu ilikuwa ni lazima uunge hapohapo kusoma Diploma ya Ualimu ya miaka 2. Hivyo ndivyo Magufuli na wasomi wengine walivyopitia, na ndio maana alisoma Shadaha baadae hata kama ni kwa kutumia matokeo ya kidato cha sita (sio ya diploma).Magu siyo wa upe. Alimaliza Six mwaka 1981 .Mwaka huo huo akaanza chuo mkwawa. Najiuliza Dilpoma ya ualimu ilikuwa miaka mingapi ? Maana Kangi nae kaanza form one 1981 akamaliza 1984.
Pia kwa upande wa Magu kamaliza six Mkwawa high school na kusoma diploma hapo hapo.
Ina maana mkwawa ilikuwa secondary pia ilikuwa chuo cha diploma Ualimu ?
Labda kama alirudia kusoma tena. Ama kujiendeleza na elimu ya utu uzima.Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?