Naomba kufanya roll call (rokoo) 2015!

Heri ya mwaka mpya charminglady,mdau wa #TeamRekebishaLugha . Namshukuru Mungu nimeuona mwaka mpya ila sijaiona JF mpya tulioahidiwa na Maxence Melo!
 
Last edited by a moderator:
Na mie nipogo
heri ya Xmas na Mwaka mpya wapendwa wote
 
Kwa kweli tunamshukuru mungu mimi pamoja na familia yangu
.... Happy new year kwa kila mtu humu ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…