Naomba kuijua biashara mtandaoni ya Gwac, nasikia watu wengi wamejiunga

Naomba kuijua biashara mtandaoni ya Gwac, nasikia watu wengi wamejiunga

Mpaka naileta hapa hii issue, maana yake Mimi mwenyewe siamini. Lakini haiondoi ukweli kwamba, mpaka sasa waliojiunga, wanalipwa kabisa. Nimependa comments za baadhi ya wadau wanaosema, issues kama hizi, huwa zipo nchi za wenzetu lakini huku zinaingizwa kinyemela. Siku wakistuka waanzilisha, wanafunga biashara hiyo au link hiyo, kwahiyo, watakaoathirika ni wateja wapya watakaokuwa na muda mfupi tangu kujiunga na kufungwa Kwa hiyo link
Unajua chochote kuhusu ‘Pyramid scheme’ au ‘Ponzi scheme’?
 
Haya ndiyo maswali najiuliza pia, lakini mpaka Sasa huyu mtu na jamaa zake wengine wamelipwa zaidi ya siku 10, maana yake wamesharudisha mitaji Yao, lakini bado wanaendelea kulipwa asilimia 10 zao🤔🙌
Au hao watu ni WA demo? Mkuu hebu WAAMBIE wakueleweshe baada ya kuirudisha hela yako! Hiyo asilimia 10 wanaoendelea kulipwa inatoka wapi?
 
Aiseee wabongo kila siku wanalizwa ila watu hawakomi
 
Mpaka naileta hapa hii issue, maana yake Mimi mwenyewe siamini. Lakini haiondoi ukweli kwamba, mpaka sasa waliojiunga, wanalipwa kabisa. Nimependa comments za baadhi ya wadau wanaosema, issues kama hizi, huwa zipo nchi za wenzetu lakini huku zinaingizwa kinyemela. Siku wakistuka waanzilisha, wanafunga biashara hiyo au link hiyo, kwahiyo, watakaoathirika ni wateja wapya watakaokuwa na muda mfupi tangu kujiunga na kufungwa Kwa hiyo link
Enzi zile DECI ina tapeli watu Baba na Mama yako walikuwa hawajavunja amri ya sita kukuleta duniani ?
 
Habari za Leo?
Jamani, nimeshirikishwa fursa na mtu mmoja, anasema, Kuna biashara mtandao inaitwa GWAC.
Watu wanawekeza pesa na ukishawekeza baada ya siku moja, unaanza kurudishiwa asilimia 10 ya pesa uliyowekeza kila siku mfululizo kwa mwaka mzima. Tayari kuna watu wananufaika nayo, ikiwemo huyo aliyenishirikisha. Yeye amewekeza laki 3, maana yake anarudishiwa elf 30 kila siku, Leo anaingia siku ya 5. Uhakika wa kudumu kwa kampuni hii haujulikani, lakini Kuna watu wamesharudisha mitaji Yao Sasa wanalipwa faida zaidi.
Swali langu nikwenu, mmeshaisikia hii fursa?
Umeleta tangazo kijanja sana 😄. Lazima kuna wapumbavu wapenda mteremko watakucheki PM... Mimi naona uwapige tu maana hakuna namna.
 
Haya ndiyo maswali najiuliza pia, lakini mpaka Sasa huyu mtu na jamaa zake wengine wamelipwa zaidi ya siku 10, maana yake wamesharudisha mitaji Yao, lakini bado wanaendelea kulipwa asilimia 10 zao🤔🙌
Ni mara yako ya kwanza kusikia michezo kama hii?
 
Umeleta tangazo kijanja sana 😄. Lazima kuna wapumbavu wapenda mteremko watakucheki PM... Mimi naona uwapige tu maana hakuna namna.
Mi mwenyewe hata sijajiunga, nilidhani Kuna hata mmoja mwingine anaijua atupe ABCs za hiyo GWAC, lakini mpaka Sasa sijaona
 
Haya ndiyo maswali najiuliza pia, lakini mpaka Sasa huyu mtu na jamaa zake wengine wamelipwa zaidi ya siku 10, maana yake wamesharudisha mitaji Yao, lakini bado wanaendelea kulipwa asilimia 10 zao🤔🙌
[/QUOE]
Mnasubiriwa idadi iongezeke kwanza ili mkija kupigwa apo mko wengi kidogo na ela itakuwa yakueleweka
 
Habari za Leo?

Jamani, nimeshirikishwa fursa na mtu mmoja, anasema, Kuna biashara mtandao inaitwa Governmentwide Acquisition Contract (GWAC).

Watu wanawekeza pesa na ukishawekeza baada ya siku moja, unaanza kurudishiwa asilimia 10 ya pesa uliyowekeza kila siku mfululizo kwa mwaka mzima.

Tayari kuna watu wananufaika nayo, ikiwemo huyo aliyenishirikisha. Yeye amewekeza laki 3, maana yake anarudishiwa elf 30 kila siku, Leo anaingia siku ya 5. Uhakika wa kudumu kwa kampuni hii haujulikani, lakini Kuna watu wamesharudisha mitaji Yao Sasa wanalipwa faida zaidi.

Swali langu nikwenu, mmeshaisikia hii fursa?
Wanaotapeliwa huwa inaanza tamaa
 
Kwa uwelewa wangu najua makampuni mengi au watu wengi huwa wanavutia watu kwa njia hizi
Mtu au watu wanakuwa na hela nyingi na kuanza kurudisha ili muone ni fursa
Hakuna hela za bure aisee
Maana kama ni hivyo wastaafu wangeshiba kutoka serikalini
Hapo unaona mwenzio kawekeza laki 3 anapewa hela za bure kila siku
Sasa wewe jichanganye uweke milioni na mwingine unamhadithia anaweka 3m
Sasa wakiona wamewapata wengi na wametimiza lengo au kiasi kikubwa cha pesa
Hapo ndio wanatupa mawasiliano yao yote kila ukipiga holaaa
Nimeona watu wamepigwa hivi sana ila siwezi kuangukia tamaa hizo hata siku moja
 
Back
Top Bottom