FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Unajua chochote kuhusu โPyramid schemeโ au โPonzi schemeโ?Mpaka naileta hapa hii issue, maana yake Mimi mwenyewe siamini. Lakini haiondoi ukweli kwamba, mpaka sasa waliojiunga, wanalipwa kabisa. Nimependa comments za baadhi ya wadau wanaosema, issues kama hizi, huwa zipo nchi za wenzetu lakini huku zinaingizwa kinyemela. Siku wakistuka waanzilisha, wanafunga biashara hiyo au link hiyo, kwahiyo, watakaoathirika ni wateja wapya watakaokuwa na muda mfupi tangu kujiunga na kufungwa Kwa hiyo link
Au hao watu ni WA demo? Mkuu hebu WAAMBIE wakueleweshe baada ya kuirudisha hela yako! Hiyo asilimia 10 wanaoendelea kulipwa inatoka wapi?Haya ndiyo maswali najiuliza pia, lakini mpaka Sasa huyu mtu na jamaa zake wengine wamelipwa zaidi ya siku 10, maana yake wamesharudisha mitaji Yao, lakini bado wanaendelea kulipwa asilimia 10 zao๐ค๐
Mh Rais wa majobless promax hii ni fursa nzuri ya kuongezea mapato chama chetu
Enzi zile DECI ina tapeli watu Baba na Mama yako walikuwa hawajavunja amri ya sita kukuleta duniani ?Mpaka naileta hapa hii issue, maana yake Mimi mwenyewe siamini. Lakini haiondoi ukweli kwamba, mpaka sasa waliojiunga, wanalipwa kabisa. Nimependa comments za baadhi ya wadau wanaosema, issues kama hizi, huwa zipo nchi za wenzetu lakini huku zinaingizwa kinyemela. Siku wakistuka waanzilisha, wanafunga biashara hiyo au link hiyo, kwahiyo, watakaoathirika ni wateja wapya watakaokuwa na muda mfupi tangu kujiunga na kufungwa Kwa hiyo link
Kijana hizi ruzuku zita tupeleka jela๐Mh Rais wa majobless promax hii ni fursa nzuri ya kuongezea mapato chama chetu
Si unajua hatuna rudhuku ,๐
Chama hakina hela tufanyaje Sasa?Kijana hizi ruzuku zita tupeleka jela๐
Umeleta tangazo kijanja sana ๐. Lazima kuna wapumbavu wapenda mteremko watakucheki PM... Mimi naona uwapige tu maana hakuna namna.Habari za Leo?
Jamani, nimeshirikishwa fursa na mtu mmoja, anasema, Kuna biashara mtandao inaitwa GWAC.
Watu wanawekeza pesa na ukishawekeza baada ya siku moja, unaanza kurudishiwa asilimia 10 ya pesa uliyowekeza kila siku mfululizo kwa mwaka mzima. Tayari kuna watu wananufaika nayo, ikiwemo huyo aliyenishirikisha. Yeye amewekeza laki 3, maana yake anarudishiwa elf 30 kila siku, Leo anaingia siku ya 5. Uhakika wa kudumu kwa kampuni hii haujulikani, lakini Kuna watu wamesharudisha mitaji Yao Sasa wanalipwa faida zaidi.
Swali langu nikwenu, mmeshaisikia hii fursa?
Ni mara yako ya kwanza kusikia michezo kama hii?Haya ndiyo maswali najiuliza pia, lakini mpaka Sasa huyu mtu na jamaa zake wengine wamelipwa zaidi ya siku 10, maana yake wamesharudisha mitaji Yao, lakini bado wanaendelea kulipwa asilimia 10 zao๐ค๐
Mi mwenyewe hata sijajiunga, nilidhani Kuna hata mmoja mwingine anaijua atupe ABCs za hiyo GWAC, lakini mpaka Sasa sijaonaUmeleta tangazo kijanja sana ๐. Lazima kuna wapumbavu wapenda mteremko watakucheki PM... Mimi naona uwapige tu maana hakuna namna.
Ingia UingiliweMpaka naileta hapa hii issue, maana yake Mimi mwenyewe siamini. Lakini
Haya ndiyo maswali najiuliza pia, lakini mpaka Sasa huyu mtu na jamaa zake wengine wamelipwa zaidi ya siku 10, maana yake wamesharudisha mitaji Yao, lakini bado wanaendelea kulipwa asilimia 10 zao๐ค๐
[/QUOE]
Mnasubiriwa idadi iongezeke kwanza ili mkija kupigwa apo mko wengi kidogo na ela itakuwa yakueleweka
Wanaotapeliwa huwa inaanza tamaaHabari za Leo?
Jamani, nimeshirikishwa fursa na mtu mmoja, anasema, Kuna biashara mtandao inaitwa Governmentwide Acquisition Contract (GWAC).
Watu wanawekeza pesa na ukishawekeza baada ya siku moja, unaanza kurudishiwa asilimia 10 ya pesa uliyowekeza kila siku mfululizo kwa mwaka mzima.
Tayari kuna watu wananufaika nayo, ikiwemo huyo aliyenishirikisha. Yeye amewekeza laki 3, maana yake anarudishiwa elf 30 kila siku, Leo anaingia siku ya 5. Uhakika wa kudumu kwa kampuni hii haujulikani, lakini Kuna watu wamesharudisha mitaji Yao Sasa wanalipwa faida zaidi.
Swali langu nikwenu, mmeshaisikia hii fursa?
Jisomee kwa muda wako ukipata nafasi, usije lia kilio cha samaki baadaeSizijui ndugu