Naomba kuijua biashara mtandaoni ya Gwac, nasikia watu wengi wamejiunga

Hamjifunzi eh? Endeleeni
 
Kijana kwa jinsi ulivyoeleza ni kama DECI wazee wa kupanda mbegu
 
Soon kuna watu wanaenda kula kipigo takatifu. Acha ujinga wa kuamini kila kitu au utakuja kujuta na kulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…