Naomba kujibiwa maswali haya kuhusu HIV

Naomba kujibiwa maswali haya kuhusu HIV

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
Tangu dunia iumbwe hakuna mwanadamu aliyewahi kuona kirusi.
Hata hiki kilicho maarufu sasa hakijawahi kuonwa na yeyote.
Unachoona kwenye michoro hiyo ni computer generated model tu ya kutengeneza – na sio picha halisi.
  1. Tumeambiwa miaka mingi kwamba kuna kirusi cha ukimwi.
  2. Tukienda kupimwa, huwa hawaoni kirusi, bali huwa wanapima kuona kama kuna ANTIBODIES (yaani ni kama kusema, nyumba imefungwa, hujui kuna nini ndani, lakini mtaalamu anakuambia kwamba, ukiona tu nzi wanaingia na kutoka, basi jua humo kuna mzoga) – kwani haiwezi kuwa matembele yaliyochacha? Haiwezi kuwa ugali uliochacha? Haiwezi kuwa maharage yaliyochacha? Kwa nini unataka uwe mzoga tu?
  3. Kwa hiyo, wakikuta mwili umetoa antibodies – ambazo kazi yake ni kupambana na magonjwa, basi ndio wanakuambia WEWE UNA HIV – na sio kwamba wamekiona kirusi chenyewe.
Tunapodungwa chanjo, tunaambiwa kuwa mwili unapewa mazoezi ili ujifunze kupigana na ugonjwa fulani; ili siku ugonjwa ukija wa kwelikweli, basi mwili utaushinda kwa sababu ulishafanya mazoezi.

SWALI LANGU

Katika chanjo zote mnasema mwili wangu unafanyishwa mazoezi ili ujifunze kutoa antibodies za kupambana na ugonjwa husika. Maana yake ni kuwa kitendo cha mwili kuja kutoa antibodies ndio mafanikio na ndio afya.
  1. Inakuwaje kwenye HIV, mwili huohuo ukitoa antibodies, badala ya kuupongeza, mnasema ni ishara ya hatari?
  2. Kama hata kirusi chenyewe hakijawahi kuonekana, hakuna uwezekano kuwa mtu akaambiwa ana HIV kumbe ni tatizo jingine?
Naomba kuwasilisha.
 
Tangu dunia iumbwe hakuna mwanadamu aliyewahi kuona kirusi.
Hata hiki kilicho maarufu sasa hakijawahi kuonwa na yeyote.
Unachoona kwenye michoro hiyo ni computer generated model tu ya kutengeneza – na sio picha halisi.
  1. ...
kwa matazamu wangu mdogo ni kama ifuatavyo.
hii dhana ya HIV ni kama imaginary au fiction lakini kiuhalisia hakuna kitu kinachoitwa HIV ila ukimwi upo kiuhalisia na ulikuwepo tangu enzi na enzi.

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini na kinga ya mwili inaweza kupungua kwa njia nyingi sana ikiwa ni pamoja na lishe duni,magonjwa sugu ya muda mrefu,Extreme Stress nk.ni ukweli halisi hakuna binadamu wala kifaa kilichowahi kuona kirusi cha HIV zaidi ya kupima reaction ya mwili amabo ant-bodies zinaweza kureact kwa sababu yoyote ile kama mwili ukihisi una tatizo.

Target kubwa ya hawa wafanyabiashara ni kwa wamama wajawazito maana baadhi yao wengi miili yao hu-react baada ya ujauzito kuingia mwili huhisi kuna kitu cha hatari hivyo kipimo kinasoma kama HiV positive yani mwili umetengeneza antibosi, na hapo anaanza kunywa madawa(ARV) na hayo madawa ndio ugonjwa wenyewe kwani kuanzia hapo ndio countdown ya maisha inaanza na anakuwa mteja wa hao mabwana milele yote mpaka kifo.

magonjwa ya zinaa yapo mengi kama vile gono,kaswende kisonono nk yapo miaka na miaka ila hii dhana ya HIV ilitungwa tu na wakina Robert Galo inagwa nowaday inaanza kupotez mvuto baada ya baadhi ya watu kuanza kugundua huo uwongo wao
 
kwa matazamu wangu mdogo ni kama ifuatavyo.
hii dhana ya HIV ni kama imaginary au fiction lakini kiuhalisia hakuna kitu kinachoitwa HIV ila ukimwi upo kiuhalisia na ulikuwepo tangu enzi na enzi...
Mkuu asante sana. Unachosema kina make sense SANA. Hii inamaanisha kuwa KUNA UWEZEKANO wanadamu wengi sana wakuwa condemned kwenye tatizo ambalo HUENDA hawana kabisa. Lakini mara channel YA HOFU inapofunguliwa, na mhusika akaikubali, basi dalili zilizopigiwa debe lazima zijitokeze. Inasikitisha sana. PESA HAKIKA NI CHANZO CHA UOVU mwingi duniani.

Uchambuzi wako kuhusu ugonjwa kutokuwa mpya na pia athari ya dawa unaendana kabisa na anachosema Dr William Trebing kwenye kitabu chake Good-bye Germ Theory uk 121

To begin to tell you the truth about AIDS, a major piece of epidemic propaganda pushed on the American public, and the world by the CDC, let's first state that AIDS is simply a redefinition of an old disease called leukocytopenia. If you research old versions of the Merck manual, as well as older diagnostic texts, you will find that leukocytopenia, meaning simply decreased white blood cells, was purposely graduated to "Acquired Immune Deficiency Syndrome" at a press conference held by the CDC in 1982. Leukocytopenia has identical symptoms to AIDS, and was not considered a sexually transmitted disease, but a disease of toxicity caused from drugs and environmental toxins.
 
Mapambano kati ya mwili na virusi vya HIV huchukua muda mrefu. Ndio maana mtu mwenye afya akipata maambukizi anaweza akachukua miaka 5 - 10 ndio mwili uanze kuonyesha dalili. Kinachotokea:

1. HIV virus wana tabia ya kujibalisha kukwepa antibodies zinazozalishwa ambazo zinakuwa ni specific kwa aina flani ya virusi kabla hawajabadilika

2. Viral replication / uwezo wa virusi kujizalisha ni mkubwa sana hivyo kinga ya mwili inakuwa outnumbered, say virusi hutengeneza virusi vipya 1 m hadi 1 b kwa siku moja

3. Virusi kujificha kwenye maeneo ya mwili ambayo yako protected kuwa interfered na kinga ya mwili mfano brain

4. HIV direct hushambulia cell zinahusiana na kinga hivyo kadiri number ya virusi inavyoongezeka kinga ya mwili inazidi kushuka na kupunguziwa uwezo wa mapambano.

kwa hoja hizo bado antibodies against HIV zinasaidia mwili kupambana katika hatua za awali za ugonjwa sema changamoto ni kama nilivyosema.

Virusi vyengine Kama vya polio n.k havina tabia hizo kama za virusi vya HIV.
 
Inawezekana ila ndo hivyo ngoma inaogopwa zaidi sababu haina tiba. Hivyo uozo wa nyama una harufu kali kuliko majani
😀asante kwa jicho kali mkuu, ila point tu ni kwamba, haiwezekani ikawa ni kitu kingine?
 
Mapambano kati ya mwili na virusi vya HIV huchukua muda mrefu. Ndio maana mtu mwenye afya akipata maambukizi anaweza akachukua miaka 5 - 10 ndio mwili uanze kuonyesha dalili. Kinachotokea:
1. HIV virus wana tabia ya kujibalisha kukwepa antibodies zinazozalishwa ambazo zinakuwa ni specific kwa aina flani ya virusi kabla hawajabadilika
2. Viral replication / uwezo wa virusi kujizalisha ni mkubwa sana hivyo kinga ya mwili inakuwa outnumbered, say virusi hutengeneza virusi vipya 1 m hadi 1 b kwa siku moja
3. Virusi kujificha kwenye maeneo ya mwili ambayo yako protected kuwa interfered na kinga ya mwili mfano brain
4. HIV direct hushambulia cell zinahusiana na kinga hivyo kadiri number ya virusi inavyoongezeka kinga ya mwili inazidi kushuka na kupunguziwa uwezo wa mapambano.

kwa hoja hizo bado antibodies against HIV zinasaidia mwili kupambana katika hatua za awali za ugonjwa sema changamoto ni kama nilivyosema.

Virusi vyengine Kama vya polio n.k havina tabia hizo kama za virusi vya HIV.
Hiyo idea ya virusi kujificha na kukwepa antibodies nayo ni questionable sana mkuu.

Kuna watu wengi tu wanaenda hospitali wakiw wazima kabisa. Wanapopimwa ndipo wanagundua wana HIV. Kama virusi vinajificha, inakuwaje kipimo kionyeshe mtu ni positive?

Yaani inakuwaje antibodies ziibuke wakati virusi vimejificha?
 
Tunazungumzia virusi vya HIV vyenye uwezo wa kujizalisha 1 million to 1 bilion new virus kwa siku, so vingine vinakuwa kwenye mzunguko wa kawaida na vingine kwenye maficho.

Kipimo cha viral load kinaposema undetectable number ni just calibration tu, haimaanishi hakuna kirusi hata kimoja kwenye damu so still mwili unaweza kudetect na kutengeneza antibodies kwa virusi inavyovidetect.

Vipimo vya kutumia antibodies vinatumika sana ni specific pia ni cost effective kuliko vipimo vya kuextract mdudu kabisa ambavyo ni very expensive na vinahitaji laboratory na utaalam wa hali ya juu, mwisho wa siku kinacholengwa ni kujua mdudu flani yupo ndani ya mwili.
 
Mkuu kitu cha kwanza na muhimu kujua ni kua antibodies are 'disease specific'. Kwa mfano immune system ya miili yetu haiwezi kutengeneza antibodies za HIV kupambana na antigens za malaria. Hiyo inamaanisha wataalam wako sahihi kabisa kupima kama kuna HIV antibodies zimetengenezwa mwilini, kama zipo it's obvious zimetengenezwa ili kupambana na HIV antigens, na sio vinginevyo.

Hiyo moja, pili sio kweli kua kipimo pekee cha HIV kilichopo ni hicho cha kuangalia antibodies tu. Kuna kipimo kinaitwa NAT HIV Test, hiki sio tu kinapima 'the actual virus', ila pia kinaangalia kiwango cha virusi vya Ukimwi kwenye damu (HIV viral load test).

Ila vipimo vya ku-test antibodies vinatumika sana kwa sababu ya gharama kubwa na changamoto ya upatikanaji wa NAT HIV Test.
 
Hii idea yako kama inaleta maana hivi
kwa matazamu wangu mdogo ni kama ifuatavyo.
hii dhana ya HIV ni kama imaginary au fiction lakini kiuhalisia hakuna kitu kinachoitwa HIV ila ukimwi upo kiuhalisia na ulikuwepo tangu enzi na enzi .Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini na kinga ya mwili inaweza kupungua kwa njia nyingi sana ikiwa ni pamoja na lishe duni,magonjwa sugu ya muda mrefu,Extreme Stress nk.ni ukweli halisi hakuna binadamu wala kifaa kilichowahi kuona kirusi cha HIV zaidi ya kupima reaction ya mwili amabo ant-bodies zinaweza kureact kwa sababu yoyote ile kama mwili ukihisi una tatizo.target kubwa ya hawa wafanyabiashara ni kwa wamama wajawazito maana baadhi yao wengi miili yao hu-react baada ya ujauzito kuingia mwili huhisi kuna kitu cha hatari hivyo kipimo kinasoma kama HiV positive yani mwili umetengeneza antibosi, na hapo anaanza kunywa madawa(ARV) na hayo madawa ndio ugonjwa wenyewe kwani kuanzia hapo ndio countdown ya maisha inaanza na anakuwa mteja wa hao mabwana milele yote mpaka kifo.
magonjwa ya zinaa yapo mengi kama vile gono,kaswende kisonono nk yapo miaka na miaka ila hii dhana ya HIV ilitungwa tu na wakina Robert Galo inagwa nowaday inaanza kupotez mvuto baada ya baadhi ya watu kuanza kugundua huo uwongo wao
 
Tunazungumzia virusi vya HIV vyenye uwezo wa kujizalisha 1 million to 1 bilion new virus kwa siku, so vingine vinakuwa kwenye mzunguko wa kawaida na vingine kwenye maficho. Kipimo cha viral load kinaposema undetectable number ni just calibration tu, haimaanishi hakuna kirusi hata kimoja kwenye damu so still mwili unaweza kudetect na kutengeneza antibodies kwa virusi inavyovidetect. Vipimo vya kutumia antibodies vinatumika sana ni specific pia ni cost effective kuliko vipimo vya kuextract mdudu kabisa ambavyo ni very expensive na vinahitaji laboratory na utaalam wa hali ya juu, mwisho wa siku kinacholengwa ni kujua mdudu flani yupo ndani ya mwili.
ukiongelea cost kwa hospitali moja moja hapo nakuelewa mkuu. Lakini hata tu kumjua kirusi kuwa yukoje (isolation) nayo tusingizie ni expensive? Yaani WHO, NIAID, CDC za marekani nao wasingizie gharama mkuu? Yaani tangu ulimwengu uumbwe ni kukisia tu hakuna uhakika.

Hilo halileti wasiwasi?
 
Mkuu kitu cha kwanza na muhimu kujua ni kua antibodies are 'disease specific'. Kwa mfano immune system ya miili yetu haiwezi kutengeneza antibodies za HIV kupambana na antigens za malaria. Hiyo inamaanisha wataalam wako sahihi kabisa kupima kama kuna HIV antibodies zimetengenezwa mwilini, kama zipo it's obvious zimetengenezwa ili kupambana na HIV antigens, na sio vinginevyo.
Hiyo moja, pili sio kweli kua kipimo pekee cha HIV kilichopo ni hicho cha kuangalia antibodies tu. Kuna kipimo kinaitwa NAT HIV Test, hiki sio tu kinapima 'the actual virus', ila pia kinaangalia kiwango cha virusi vya Ukimwi kwenye damu (HIV viral load test). Ila vipimo vya ku-test antibodies vinatumika sana kwa sababu ya gharama kubwa na changamoto ya upatikanaji wa NAT HIV Test
Sawa mkuu ngoja tuendelee kutafuta ukweli. Ila bado navutwa kushawishika na wale wanaosema kuwa the whole thing is about toxemia na wala sio virusi. Virusi ni fragments tu za seli baada ya ku-disintergrate kutokana na toxemia.

Bado sina sana uhakika lakini nahisi that makes a lot of sense.
 
Resources ziko scary always, hata miongozo ya tiba ni muhimu kuzingatia affordability ya services. Ni kweli ni option hiyo ipo, but magonjwa ni mengi na mambo ya kufanyikaa ni mengi pia sidhani kama budget itaweza kucover hizo gharama kila mmoja kupimwa kwa very advanced tests.

Zipo isolated cases mfano mtu ana treatment failure anaweza kupimwa kujua viral genome {genetic} yake ikoje. But kama lengo ni kutambua tu ugonjwa option ambayo itakupa matokeo yaleyale kwa gharama nafuu ni bora.

Otherwise utaacha kushughulikia magonjwa mengine kwa ajili tu ya kupima HIV. Hata hao WHO, CDC hata Insurances wako cost conscious sana, kama mtu anaweza kujigharamia ili kukidhi haja ya moyo wake it's okay.
 
Back
Top Bottom