Naomba kujibiwa maswali haya kuhusu HIV

Naomba kujibiwa maswali haya kuhusu HIV

Resources ziko scary always, hata miongozo ya tiba ni muhimu kuzingatia affordability ya services. Ni kweli ni option hiyo ipo, but magonjwa ni mengi na mambo ya kufanyikaa ni mengi pia sidhani kama budget itaweza kucover hizo gharama kila mmoja kupimwa kwa very advanced tests. Zipo isolated cases mfano mtu ana treatment failure anaweza kupimwa kujua viral genome {genetic} yake ikoje. But kama lengo ni kutambua tu ugonjwa option ambayo itakupa matokeo yaleyale kwa gharama nafuu ni bora. Otherwise utaacha kushughulikia magonjwa mengine kwa ajili tu ya kupima HIV. Hata hao WHO, CDC hata Insurances wako cost conscious sana....kama mtu anaweza kujigharamia ili kukidhi haja ya moyo wake it's okay.
asante kwa mchango mzuri mkuu
 
inavyo onekana Kirusi cha UKIMWI ni Kirusi hatari sana kuliko kirusi chochote kile.
Kimeitesa Dunia zaidi ya miaka 40 na bado kinaendelea kuwatesa wataalamu hadi leo wanakesha kutwa kucha maabara kufanya utafiti namna na kukithibiti hichi kirusi cha Ukimwi (H.I.V) lakini wapi!!!

Jambo la msingi tuendelee kujikinga na Ukimwi.
Ukimwi unaua, tusiendekeze ngono maana ngono ndio iliyozalisha kirusi cha ukimwi.
 
inavyo onekana Kirusi cha UKIMWI ni Kirusi hatari sana kuliko kirusi chochote kile.
Kimeitesa Dunia zaidi ya miaka 40 na bado kinaendelea kuwatesa wataalamu hadi leo wanakesha kutwa kucha maabara kufanya utafiti namna na kukithibiti hichi kirusi cha Ukimwi (H.I.V) lakini wapi!!!

Jambo la msingi tuendelee kujikinga na Ukimwi.
Ukimwi unaua, tusiendekeze ngono maana ngono ndio iliyozalisha kirusi cha ukimwi.
kuhusu kujikinga na kuacha maisha ya ngono zisizo sahihi naungana nawe kwa asilimia zote mkuu. Lakini kuhusu uhatari wa kirusi na hata kuwepo kwake, hapo ndipo kunaleta maswali> Dunia ina mazonge mengi mkuu. Ukiweza soma kitabu hiki utakutana na mtazamo mwingine kisha utapima mkuu:

Screen Shot 2021-09-29 at 12.37.25 PM.png
 
kuhusu kujikinga na kuacha maisha ya ngono zisizo sahihi naungana nawe kwa asilimia zote mkuu. Lakini kuhusu uhatari wa kirusi na hata kuwepo kwake, hapo ndipo kunaleta maswali> Dunia ina mazonge mengi mkuu. Ukiweza soma kitabu hiki utakutana na mtazamo mwingine kisha utapima mkuu:

View attachment 1956994
Ili uwe shahidi mzuri, zungumza na madoctor walioko humu wakuwekee damu iliyo na viruzi ili kutapate ushuhuda kutoka real source.
 
Ili uwe shahidi mzuri, zungumza na madoctor walioko humu wakuwekee damu iliyo na viruzi ili kutapate ushuhuda kutoka real source.
kuuliza maswali na kuhoji mambo ni njia nzuri ya kujifunza pia
 
kuuliza maswali na kuhoji mambo ni njia nzuri ya kujifunza pia
Kuna mambo ambayo kupata ukweli wake dunia hii ni kazi sana. Ila ufahamu wa HIV katika jamii zetu hasa za kiafrika, siyo suala la kusoma kwenye vitabu vya watu wanaoishi New York, wengi wameona ndugu, wazazi, watoto etc wakiteketea taratibu. Naamini hata jukwaani lazima kutakuwa na baadhi ya waliojionea hayo au pengine wengine wanaumwa pia, hivyo ukisema HIV ni fix watu wataokota mawe. Kikubwa tuanze kuboresha mifumo yetu ya elimu ili tuweze kutengeneza dawa zetu za kujitibu, na pia tushutumu mataifa makubwa kwa kufanya biashara katika afya za watu, corona iliwaua wengi angalia walivyochakarika kutafuta kinga. Wangeamua siku nyingi ungekuta HIV ni historia.
 
Kuna mambo ambayo kupata ukweli wake dunia hii ni kazi sana. Ila ufahamu wa HIV katika jamii zetu hasa za kiafrika, siyo suala la kusoma kwenye vitabu vya watu wanaoishi New York, wengi wameona ndugu, wazazi, watoto etc wakiteketea taratibu. Naamini hata jukwaani lazima kutakuwa na baadhi ya waliojionea hayo au pengine wengine wanaumwa pia, hivyo ukisema HIV ni fix watu wataokota mawe. Kikubwa tuanze kuboresha mifumo yetu ya elimu ili tuweze kutengeneza dawa zetu za kujitibu, na pia tushutumu mataifa makubwa kwa kufanya biashara katika afya za watu, corona iliwaua wengi angalia walivyochakarika kutafuta kinga. Wangeamua siku nyingi ungekuta HIV ni historia.
Nakubaliana kabisa na wewe mkuu. Lakini najua pia kuwa kuna mambo ambayo ni magumu sana kuyasema na yakaeleweka. Nakubali kabisa kwamba tumewapoteza ndugu zetu wengi kwa "huu ugonjwa". Lakini hiyo isituzuie kuhoji mambo. Ninayasema haya kwa sababu nimejaribu kuwasikiliza (kuwasoma) na watu wenye ujuzi kuliko mimi ambao wako kulekule kwa hao mataifa makubwa. Kile wanachosema, kinashangaza SANA.

Hebu tazama mifano hii michache toka kwa waandishi hawa wawili kuhusiana na wasimamizi wa mambo ya kiafya duniani:

Eleanor McBean (1957) mwandishi wa The Poisoned Needle
  1. The false "germ theory" of disease, upon which vaccination is based, has been the "blind leader of the blind" that has dragged the medical system and the Impressionable public deeper into the morass of confusion and disease.
  2. Our worst epidemics now are epidemics of vaccination in which more people are killed every year by "vaccinal diseases" than by the diseases that the vaccinations were supposed to combat.
  3. Akimnukuu Dr Hodge: “the serious killer diseases such as cancer, syphilis, heart trouble, polio, tuberculosis, etc., will never be eliminated as long as blood pollution through vaccination is continued”
Dr William Trebing (2006) mwandishi wa Good-bye Germ theory anasema:
  1. Records prove that the death rates from polio, pertussis, whooping cough and measles were decreasing on their own before the vaccine was introduced, and that present records were altered to demonstrate the decrease was due to vaccines.
  2. Dr. Peter Duesberg, a prestigious University professor and viral researcher for decades, has been attempting to tell people the truth about AIDS for 10 years. He went on national television and told the interviewer, that he would drink up an HIV viral infested cup of coffee right in front of him if asked to, without any fear of becoming ill, because his research had unequivocally found no correlation what so ever between the culprit HIV virus, and the disease AIDS. He was totally ostracized from the research community for it, although many colleagues went on record to say Duesberg was quite correct. They just didn't want to be the ones to say it, and loose their research grants.
  3. To begin to tell you the truth about AIDS, a major piece of epidemic propaganda pushed on the American public, and the world by the CDC, let's first state that AIDS is simply a redefinition of an old disease called leukocytopenia. If you research old versions of the Merck manual, as well as older diagnostic texts, you will find that leukocytopenia, meaning simply decreased white blood cells, was purposely graduated to "Acquired Immune Deficiency Syndrome" at a press conference held by the CDC in 1982.
Kuna jambo humu la kujifunza au la kuhoji bila shaka.
 
Mkuu Teleskopu sidhani kama kuna sababu ya kuchimba sana kuhusu haya mambo. Madhara ya Ukimwi yanajulikana, na njia za kujikinga zipo wazi pia. Muhimu ni kuchukua tahadhari, mambo yasiwe mengi
 
Mkuu Teleskopu sidhani kama kuna sababu ya kuchimba sana kuhusu haya mambo. Madhara ya Ukimwi yanajulikana, na njia za kujikinga zipo wazi pia. Muhimu ni kuchukua tahadhari, mambo yasiwe mengi
Naheshimu maoni yako mkuu, ila nadhani hakuna ubaya kuuliza na kuhoji mambo, japo pia najua si kila mtu ana interest za namna hii. Natamani uchungulie kwenye document hii - ambayo yenyewe kama yenyewe mtu anaweza kusema ni feki kwa sababu haionyeshi ni nani aliiandika - ila kama ni mfuatiliaji wa mambo ya ulimwengu (hasa secret societies) hutajiuliza mara mbili kwamba ina ukweli au la. Kwa kutambua hilo, ndio maana najikuta nahoji mambo mengi. Ukipenda unaweza kufungua HAPA.
 
HIV ni kirusi hatari mkuu na wala sio fictions...kuandika ni ngumu lakini hebu tazama hii video labda utaelewa namna kirusi hiki kilivyo cha ajabu

 
Back
Top Bottom