Herbalist Mtaturu
Senior Member
- Aug 17, 2023
- 156
- 237
Kwema wakuu?
Naomba kujua laki moja (100,000/-) ya Burundi sawa na shilingi ngapi za Tanzania?
Naomba kujua laki moja (100,000/-) ya Burundi sawa na shilingi ngapi za Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize BuchutiKwema wakuu?? Naomba kujua laki moja (100,000/-) ya Burundi sawa na shilingi ngapi za Tanzania??
Kwema wakuu?? Naomba kujua laki moja (100,000/-) ya Burundi sawa na shilingi ngapi za Tanzania??
Nimegugo sawa na alfu 94 na point ila Kuna mtu yupo kigoma ananipanga kuwa wanabadilisha pale wanapewa 39 alfu
Google itakupoteza ukiikariri, inakupa range kwenye exchange rate. Google hapo USD to TZS ni ngapi, kisha nenda benki na hizo figure uone nani atakufanyia exchange. Tumia hata za BoT uoneMheshimu Mr Google ndugu yangu. Atakusaidia mengi na utaokoa server space!
Nimegugo sawa na alfu 94 na point ila Kuna mtu yupo kigoma ananipanga kuwa wanabadilisha pale wanapewa 39 alfu
Nipo TzUpo Burundi?
Ulifanikiwa mkuu??Kwema wakuu?
Naomba kujua laki moja (100,000/-) ya Burundi sawa na shilingi ngapi za Tanzania?
Nilifanikiwa yaani sawa na alfu 40L
Ulifanikiwa mkuu??
Ulibadilisha mpakani auNilifanikiwa yaani sawa na alfu 40
Ushakojoa jisafishe ety tanganyika ina nguvu kweli ushamba mzigoKuna nchi nilienda,nikawa nikitumia crdb viza card yangu mpaka haibu,unakuta bill ni dola 18, sasa kwa chini kwenye kile kimashine itaonekana na figure in Tz shilling,unakuta lifiga likubwa,wanashangaa tu...kingine Tz haijulikani kabisa,bora ingebaki Tanganyika ilikua ina nguvu tungekua maarufu.
TLSUshakojoa jisafishe ety tanganyika ina nguvu kweli ushamba mzigo
Yah,nimekukojolea kwenye nnya yako,jioshe pia nimekuachia kifusi cha"wazungu"Ushakojoa jisafishe ety tanganyika ina nguvu kweli ushamba mzigo
Tunaangalia purchasing power parity baada ya hapo. Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na burungutu la pesa ila nguvu ya hilo burungutu ikawa ndogo.Ko nikiwa na milioni 5 nikienda Burundi nakuwa kibopa sio 😂