Naomba kujua 100,000/- ya Burundi sawa na Shilingi ngapi za Tanzania?

Naomba kujua 100,000/- ya Burundi sawa na Shilingi ngapi za Tanzania?

Mheshimu Mr Google ndugu yangu. Atakusaidia mengi na utaokoa server space!
 

Attachments

  • Screenshot_20240904-200302_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20240904-200302_Samsung Internet.jpg
    562.8 KB · Views: 16
Kuna nchi nilienda,nikawa nikitumia crdb viza card yangu mpaka haibu,unakuta bill ni dola 18, sasa kwa chini kwenye kile kimashine itaonekana na figure in Tz shilling,unakuta lifiga likubwa,wanashangaa tu...kingine Tz haijulikani kabisa,bora ingebaki Tanganyika ilikua ina nguvu tungekua maarufu.
 
Kuna nchi nilienda,nikawa nikitumia crdb viza card yangu mpaka haibu,unakuta bill ni dola 18, sasa kwa chini kwenye kile kimashine itaonekana na figure in Tz shilling,unakuta lifiga likubwa,wanashangaa tu...kingine Tz haijulikani kabisa,bora ingebaki Tanganyika ilikua ina nguvu tungekua maarufu.
Ushakojoa jisafishe ety tanganyika ina nguvu kweli ushamba mzigo
 
Ko nikiwa na milioni 5 nikienda Burundi nakuwa kibopa sio 😂
Tunaangalia purchasing power parity baada ya hapo. Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na burungutu la pesa ila nguvu ya hilo burungutu ikawa ndogo.
 
Back
Top Bottom