Faida za kusoma nje kwanza ni kwamba unakuwa umeshindikana, mtu yeyote akikusogelea unamzibua!
Pili, kusoma nje ni kama kutoka nje ya ndoa, unaamua tu kwamba unaachana na mambo ya umanju unaanza kuimba ngonjera za hapa na pale..
Tatu, suala la saikomania halikupigi chenga, unakuwa intertwined katika michepuko.
Nne, sio tu kwamba ni psychological phenomena, it is AMBIQUITY!
Sababu nyingine ni wizi wa kukusudia, mfano mass media ikiamua kukukimbiza, inakuwa haina shobo..
Hoja ya mwisho ni kuangalia suala la global trend, maana ni hatari zaidi ukikuta kumbe hayawi hawayi yamèkuwa,
Mwisho kabisa nikutakie ibada njema shehe wangu, Alamsik.