Frank mtanganyika
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 497
- 785
ulitaka ijengwe kwa ngapi kwa ratio ya motor?. ya 1:5 au 1:4?. hivi vitu viko kwny standard protocol usifikiri ni mambo yakubuni buni au kujipangia soo hakikisha kwanza unaelewaKwa iyo unataka kusema nyumba kubwa ya Tofali 3000 unajenga kwa mifuko 60 ? What a joke brother [emoji28]
motor inategemea na size ya ukuta, size ya tofali kujua ratio ya namna gani inatumika kwahio tunapo zungumza mfuko mmoja kwa tofali 50. hatujaitoa hewani hiyo