Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Itabidi ujikaze kupima tu, hakuna namna mzee! 😄, kila la kheri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogopa sana Mkuu kwani nimezichakata mno Mbunye hapa kati bila hata Kofia Maalum ya WHO Mkuyengeni mwangu.Itabidi ujikaze kupima tu, hakuna namna mzee! 😄, kila la kheri!
Dally Kimoko ni Free kote, mpaka ushauri na jinsi ya kutumia dozi ni Free. Utalipia tu kidogo consultation Free 🐒Japo hakuna Kipengele nakiogopa kama cha Kupima Dally Kimoko ( UKIMWI ) hasa ukizingatia kuna Mbunye ( K ) kadhaa Nimezitandika ( Nimezikunyuga ) kwa Kuuza Mechi ( Kujilipua ) ndani ya Miaka Miwili hii.
Ila sina jinsi itanibidi nipime tu HIV!!!
Sasa mbona hujanitajia Gharama za kufanya Full Body Check-up unazozijua Mkuu?Dally Kimoko ni Free kote, mpaka ushauri na jinsi ya kutumia dozi ni Free. Utalipia tu kidogo consultation Free 🐒
karibu 🐒
Wenyewe wanapima bure?Nenda lancent labaratoly