Naomba kujua Gharama za kufanya Full Body Check-up katika Public and Private Hospitals Tanzania

Naomba kujua Gharama za kufanya Full Body Check-up katika Public and Private Hospitals Tanzania

Japo hakuna Kipengele nakiogopa kama cha Kupima Dally Kimoko ( UKIMWI ) hasa ukizingatia kuna Mbunye ( K ) kadhaa Nimezitandika ( Nimezikunyuga ) kwa Kuuza Mechi ( Kujilipua ) ndani ya Miaka Miwili hii.

Ila sina jinsi itanibidi nipime tu HIV!!!
Dally Kimoko ni Free kote, mpaka ushauri na jinsi ya kutumia dozi ni Free. Utalipia tu kidogo consultation Free 🐒

karibu 🐒
 
Dally Kimoko ni Free kote, mpaka ushauri na jinsi ya kutumia dozi ni Free. Utalipia tu kidogo consultation Free 🐒

karibu 🐒
Sasa mbona hujanitajia Gharama za kufanya Full Body Check-up unazozijua Mkuu?

Nataka sana kujua Gharama zake katika Hospitali za Umma na Binafsi kutokana na Uharaka nilionao.
 
Makadirio andaa 1M+ MAANA ENIHECHIAIEFU wamezingua siku hizi
 
Back
Top Bottom