Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mahali nilipo Mimi huwa wanayaagiza kutoka China. Sina uhakika kama locally na ambayo ni natural yanapatikana
Awe Makini na wabongo ataletewa yaliyopakwa rangiMkuu hayo mawe yanapatikana RUAHA MBUYUNI mkoani IRINGA... kama una mtu pale muuagize atakuletea.. yapo mengi sana na huwa wanauza pembeni tu ya barabara ya MBEYA-DAR
Pale ni uhakika, na huwa wanapima kwa ndoo ya 20Lt
Thanks
Very True... Huwa nayaona pia nipitapo njia hiyo ya dar-iringa-mbeyaMkuu hayo mawe yanapatikana RUAHA MBUYUNI mkoani IRINGA... kama una mtu pale muuagize atakuletea.. yapo mengi sana na huwa wanauza pembeni tu ya barabara ya MBEYA-DAR
Pale ni uhakika, na huwa wanapima kwa ndoo ya 20Lt
Thanks
Mkuu unaweza kunisaidia ABC
Nayaonaga hayo meupe ,ila hayo mekundu sijawahi yaona pale RuahaMkuu hayo mawe yanapatikana RUAHA MBUYUNI mkoani IRINGA... kama una mtu pale muuagize atakuletea.. yapo mengi sana na huwa wanauza pembeni tu ya barabara ya MBEYA-DAR
Pale ni uhakika, na huwa wanapima kwa ndoo ya 20Lt
Thanks
Kama ukiambaa na njia ya kwenda mjimwema ninayaonaga maeneo ya mwanzoni ukivuka ofisi ya mkuu wa wilayaSehemu gani mkuu
Mimi ninayo, nayafuga hapa nyumbani Kigamboni.
Awe Makini na wabongo ataletewa yaliyopakwa rangi
Very True... Huwa nayaona pia nipitapo njia hiyo ya dar-iringa-mbeya