Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchongaji mahiri huyo dogo wa Afrika ya katiView attachment 3229171toa sababu
Mbona mm naona sawa unawezaje kugundus picha ni AlAI wala huitaji kuangalia mara mbili, AI ukiangalia kwenye extremities, mfano vidole macho n.k. utaona zile features ndogo ndogo hakuna details za kutosha (ni katika ku save computing power)
Angalia sehemu kama macho kwenye vidole au features ndogo ndogo za binadamu, mara nyingi AI huwa haina attention to detail (sio kwamba haiwezi kufanya hivyo, bali mara nyingine ni katika ku save computing power) hizi ni calculations ambazo zinatumia resources hivyo huwa kuna kurashia rashia linapokuja suala la vitu vidogo vidogo...Mbona mm naona sawa unawezaje kugundus picha ni Al
Asante Kwa maelekezo hiv Huwa wanalipia kutengeneza hizo picha naona ni km ni vingi sikuhizAngalia sehemu kama macho kwenye vidole au features ndogo ndogo za binadamu, mara nyingi AI huwa haina attention to detail (sio kwamba haiwezi kufanya hivyo, bali mara nyingine ni katika ku save computing power) hizi ni calculations ambazo zinatumia resources hivyo huwa kuna kurashia rashia linapokuja suala la vitu vidogo vidogo...
Ingawa things are getting better ndio maana leo hata ukiona kitu gani kama kina defy logic basi uwezekano mkubwa ni AI
Hapana, wewe ukitaka unaweza kujiunga kwenye akaunti za Text to Image; zipo nyingi sana, unaweza ukawa unapewa credits labda kwa siku kutengeneza picha 10 au mpaka mia au unapewa credits mia kwa siku..., ingawa ukitaka zaidi au features zaidi mfano kupata matokeo kwa muda mfupi unaweza ukawa unasubscribe kwa pesa.Asante Kwa maelekezo hiv Huwa wanalipia kutengeneza hizo picha naona ni km ni vingi sikuhiz
Eeh Dunia imekuwa Sasa kumbe mambo ndio yamekuwa hivo sijawah kuexprience kutumia al naona watu Wana app mm natumiaga chatGPtHapana, wewe ukitaka unaweza kujiunga kwenye akaunti za Text to Image; zipo nyingi sana, unaweza ukawa unapewa credits labda kwa siku kutengeneza picha 10 au mpaka mia au unapewa credits mia kwa siku..., ingawa ukitaka zaidi au features zaidi mfano kupata matokeo kwa muda mfupi unaweza ukawa unasubscribe kwa pesa.
Na sio picha tu sasa hivi kuna voice cloning unaweza kulipia ukawa unaongea kwa sauti yako ila mwisho wa siku unamclone Obama au Trump...
We are living in very interesting times......
huyo dogo wa kulia aliyesimama, mkono aliounyanyua haujakaa sawa
Zote ni AI sasa wakati ChatGPT yenyewe inatumia AI kwa kuchat na binadamu yaanu unaiuliza inakujibu (kutokana na kutumia database ya information zilizopo tayari) hii ya picha ni Text to image (yaani unaiambia unachotaka yenyewe inaleta picha) sasa ingawa kuna text to speech (wewe unaandika inaongea) pia kuna Voice Cloning wewe unaongea unavyotaka inabadilisha sauti na kutumia ya actor fulani...; Vyote hivi ingawa vipo tangia zamani ila vinazidi kuwa bora zaidi; na zinajifunza kutokana na matumizi (yaani they became better and better) kwahio computing power itakavyozidi kuongezeka ndivyo matokeo yatazidi kuwa bora...Eeh Dunia imekuwa Sasa kumbe mambo ndio yamekuwa hivo sijawah kuexprience kutumia al naona watu Wana app mm natumiaga chatGPt
Ooh kumbe sawa nayo ni AlZote ni AI sasa wakati ChatGPT yenyewe inatumia AI kwa kuchat na binadamu yaanu unaiuliza inakujibu (kutokana na kutumia database ya information zilizopo tayari) hii ya picha ni Text to image (yaani unaiambia unachotaka yenyewe inaleta picha) sasa ingawa kuna text to speech (wewe unaandika inaongea) pia kuna Voice Cloning wewe unaongea unavyotaka inabadilisha sauti na kutumia ya actor fulani...; Vyote hivi ingawa vipo tangia zamani ila vinazidi kuwa bora zaidi; na zinajifunza kutokana na matumizi (yaani they became better and better) kwahio computing power itakavyozidi kuongezeka ndivyo matokeo yatazidi kuwa bora...
AI images angalia vidole vya hao watoto