Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inshaallah. Sasa waweza kupumzisha fuvu kwa amani.Hilo nalo neno
Sawasawa.Uje na zawadi ya sukuma wiki na githeri.Kabisaa nitatua bongo hapo Sunday
Kodi mkokoteni uje navyo.Bado nipo machimboni.Hahaha poa basi njoo unspoken namanga
Ya pesa.Kutoka hadi mwezi mmoja uishe.Machimbo ya wap kaka
Malizana na uhamiaji kwanza.Umesharukwa na akili ulivyosoma neno "machimbo"!Unataka umuache mpenzi wako mkalenjin?Sawa ni wap mm nimechimba chunya Mozambique nikachimba tanga kule nikaenda kwa majolica ruwangwa nikachimba merelani hapooo mkuu sasa niko kwa ruto huku
Kwanza hakikisha anazalia hapa Tanzania ili asiweze kutoka bila pasipoti, mkeo mtafutie pasipoti aingie Tanzania na itakuwa rahisi kwake kupata uraia.Sasa mm nimeamuaa kuja na wife wangu nyumbani kama nilivyosema awali nina mke mkenya sasa nataka nije nae home jee nitatakiwa kufuata taratibu gani ni mjamzito tayar
Ila wanawake wa huko ni wakorofi, ajiandae kuachana tu.Naona mtz anakimbia kenya mtoto asijekuwa kenyatta
Kawaulize wanaukoo wako + Immigration officeSasa mm nimeamuaa kuja na wife wangu nyumbani kama nilivyosema awali nina mke mkenya sasa nataka nije nae home jee nitatakiwa kufuata taratibu gani ni mjamzito tayar
Hili nalo nenoIla wanawake wa huko ni wakorofi, ajiandae kuachana tu.