Naomba kujua kitu wana jamii

Naomba kujua kitu wana jamii

Sawa ni wap mm nimechimba chunya Mozambique nikachimba tanga kule nikaenda kwa majolica ruwangwa nikachimba merelani hapooo mkuu sasa niko kwa ruto huku
Malizana na uhamiaji kwanza.Umesharukwa na akili ulivyosoma neno "machimbo"!Unataka umuache mpenzi wako mkalenjin?
 
Sasa mm nimeamuaa kuja na wife wangu nyumbani kama nilivyosema awali nina mke mkenya sasa nataka nije nae home jee nitatakiwa kufuata taratibu gani ni mjamzito tayar
Kwanza hakikisha anazalia hapa Tanzania ili asiweze kutoka bila pasipoti, mkeo mtafutie pasipoti aingie Tanzania na itakuwa rahisi kwake kupata uraia.
 
Sasa mm nimeamuaa kuja na wife wangu nyumbani kama nilivyosema awali nina mke mkenya sasa nataka nije nae home jee nitatakiwa kufuata taratibu gani ni mjamzito tayar
Kawaulize wanaukoo wako + Immigration office
 
Back
Top Bottom