Abubakar Abdallah
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 281
- 170
Wrong idea,...sasa ukisema dini njema japo kwa uhalisia wake ni Buddha,...uislam na ukristo ni hopeless kabisa.
....full unafki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wrong idea,...sasa ukisema dini njema japo kwa uhalisia wake ni Buddha,...uislam na ukristo ni hopeless kabisa.
....full unafki
Nilitarajia tuwe na mbwa koko wengi sana tangubdunia ilipoanza, kwasababu wengi wana tabia mbovu na watu wanakufa kila siku, tena wengine kw matendo wangekua ata mende bt still watu ndo wanaongezeka instead ov wanyama, datz wrong faith... Au wataka nambia wema ni wengi kuliko wabaya duniani? Au pia hiyo ni kwa mabudha tu? Kama ni kwa mabudha tu, basi imani mbayo haina mwongozo kwa binadamu wote hio ni imani dhaifu... Haipaswi kufwatwaKatika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.
1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.
2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.
Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
Sawa mkuuDuu ni kubwa mno haitawezekana ingia tu mtandaoni utalipata lote
Sasa hawa mbwa koko wanaokula uchafu majalalani watawezaje kubadilisha karma zao na kuibukia kuwa Bill Gates in their AFTER-LIVES?Hapo jibu lake ni kuwa unatakiwa wakati huu ukiwa na uwezo jitahidi kutenda mema kwa wenzio na uishi maisha safi yasiyo ya anasa
...umewahi kusikia kile kisa cha mbwa aliyemuokota mtoto akiyetupwa kichakani na kumleta mahali salama..?!.Sasa hawa mbwa koko wanaokula uchafu majalalani watawezaje kubadilisha karma zao na kuibukia kuwa Bill Gates in their AFTER-LIVES?
Oooooh, kumbe yule ndie huyu Bill Gates wa sasa. Naona wanavyofanana katika kuwasaidia sisi maskini tulioko kwenye hizi shithole countries....umewahi kusikia kile kisa cha mbwa aliyemuokota mtoto akiyetupwa kichakani na kumleta mahali salama..?!.
.....connect the dots
Mkuu, hiyo samsara ndio incarnation nnayoifahamu mimi?!Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.
1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.
2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.
Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
.....ulicho andika na nilichomaanisha ni tofauti kabisa.Oooooh, kumbe yule ndie huyu Bill Gates wa sasa. Naona wanavyofanana katika kuwasaidia sisi maskini tulioko kwenye hizi shithole countries.
Nimekuelewa mkuu.
Asante kwa kuuonesha ujinga wangu......ulicho andika na nilichomaanisha ni tofauti kabisa.
.....umeandika nonsense kabisa
Nitafanya hivyoNdugu yangu English shida sana kwetu nisaidie
Haaaah mkuu you r so enlightedAsante kwa kuuonesha ujinga wangu.
Ndg yangu mshana hivi Buddha huwa wanamzungumziaje Mtume Muhammad na Yesu katika iman za kibudha?Nitafanya hivyo
Hahahaaa!!!! Jf raha sana!!Oooooh, kumbe yule ndie huyu Bill Gates wa sasa. Naona wanavyofanana katika kuwasaidia sisi maskini tulioko kwenye hizi shithole countries.
Nimekuelewa mkuu.
na kama ulikuwa mbwa ukifa waweza zaliwa nani?Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.
1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.
2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.
Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
Dah aseeNilitarajia tuwe na mbwa koko wengi sana tangubdunia ilipoanza, kwasababu wengi wana tabia mbovu na watu wanakufa kila siku, tena wengine kw matendo wangekua ata mende bt still watu ndo wanaongezeka instead ov wanyama, datz wrong faith... Au wataka nambia wema ni wengi kuliko wabaya duniani? Au pia hiyo ni kwa mabudha tu? Kama ni kwa mabudha tu, basi imani mbayo haina mwongozo kwa binadamu wote hio ni imani dhaifu... Haipaswi kufwatwa
Dah nimecheka kweli kweli. [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila siko deep sana kwenye hiyo imani najua basics tu labda nikiisoma vizuri nitaleta mrejesho.Sasa hawa mbwa koko wanaokula uchafu majalalani watawezaje kubadilisha karma zao na kuibukia kuwa Bill Gates in their AFTER-LIVES?
Inategemea na matendo yako sasa, yaani after life yako unaitengeneza kwenye current life yako.na kama ulikuwa mbwa ukifa waweza zaliwa nani?
Ndio ila inakuwa determined na maisha uliyoishi duniani kama uliishi maisha poa utafanikiwa kufika nirvana ambayo ndio kujikomboa kutoka maisha ya mazunguko ya matesoMkuu, hiyo samsara ndio incarnation nnayoifahamu mimi?!