Naomba kujua kuhusu Siddhartha Gautama (Buddha)

Naomba kujua kuhusu Siddhartha Gautama (Buddha)

Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
Nilitarajia tuwe na mbwa koko wengi sana tangubdunia ilipoanza, kwasababu wengi wana tabia mbovu na watu wanakufa kila siku, tena wengine kw matendo wangekua ata mende bt still watu ndo wanaongezeka instead ov wanyama, datz wrong faith... Au wataka nambia wema ni wengi kuliko wabaya duniani? Au pia hiyo ni kwa mabudha tu? Kama ni kwa mabudha tu, basi imani mbayo haina mwongozo kwa binadamu wote hio ni imani dhaifu... Haipaswi kufwatwa
 
Sasa hawa mbwa koko wanaokula uchafu majalalani watawezaje kubadilisha karma zao na kuibukia kuwa Bill Gates in their AFTER-LIVES?
...umewahi kusikia kile kisa cha mbwa aliyemuokota mtoto akiyetupwa kichakani na kumleta mahali salama..?!.
.....connect the dots
 
...umewahi kusikia kile kisa cha mbwa aliyemuokota mtoto akiyetupwa kichakani na kumleta mahali salama..?!.
.....connect the dots
Oooooh, kumbe yule ndie huyu Bill Gates wa sasa. Naona wanavyofanana katika kuwasaidia sisi maskini tulioko kwenye hizi shithole countries.

Nimekuelewa mkuu.
 
Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
Mkuu, hiyo samsara ndio incarnation nnayoifahamu mimi?!
 
Oooooh, kumbe yule ndie huyu Bill Gates wa sasa. Naona wanavyofanana katika kuwasaidia sisi maskini tulioko kwenye hizi shithole countries.

Nimekuelewa mkuu.
.....ulicho andika na nilichomaanisha ni tofauti kabisa.
.....umeandika nonsense kabisa
 
Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
na kama ulikuwa mbwa ukifa waweza zaliwa nani?
 
Nilitarajia tuwe na mbwa koko wengi sana tangubdunia ilipoanza, kwasababu wengi wana tabia mbovu na watu wanakufa kila siku, tena wengine kw matendo wangekua ata mende bt still watu ndo wanaongezeka instead ov wanyama, datz wrong faith... Au wataka nambia wema ni wengi kuliko wabaya duniani? Au pia hiyo ni kwa mabudha tu? Kama ni kwa mabudha tu, basi imani mbayo haina mwongozo kwa binadamu wote hio ni imani dhaifu... Haipaswi kufwatwa
Dah asee
 
Sasa hawa mbwa koko wanaokula uchafu majalalani watawezaje kubadilisha karma zao na kuibukia kuwa Bill Gates in their AFTER-LIVES?
Dah nimecheka kweli kweli. [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila siko deep sana kwenye hiyo imani najua basics tu labda nikiisoma vizuri nitaleta mrejesho.
 
Back
Top Bottom