Naomba kujua kuhusu Siddhartha Gautama (Buddha)

ni kujijaza imani tu..
ambazo hazipo
cha msingi unachukua kinachokusaidia unaamini.. lakini kwa hili mkuu ntakataa
 
Appreciated mkuu
Nitumie pm..
Ila it seems like your device haitoi notifincio kwa wakat hua unachelewa kureply

Niliziona lakini i was not in a position to answer!
File lina MB 35 haliwezi kutumwa hapa!
Tuma E-Mail yako.
 
Imani sahihi ni zipi za kufuatwa!? Usi hukumu bila kufanya Uchunguzi yakinifu
 
Ha ha ha daah mkuu hv napigika so may be nilikuwa mzee wa ndole huko kitambo
 
ni kujijaza imani tu..
ambazo hazipo
cha msingi unachukua kinachokusaidia unaamini.. lakini kwa hili mkuu ntakataa
Imani ni mambo ya kufikirika hata hizi Dini tunazo ziamini ni za kufikirika! Hivyo hata Bhudha ni Imani km Imani nyingine, tofauti yetu ni zile Taratibu za kuabudu na uwasilishwaji wa maandiko!
 
Imani ni mambo ya kufikirika hata hizi Dini tunazo ziamini ni za kufikirika! Hivyo hata Bhudha ni Imani km Imani nyingine, tofauti yetu ni zile Taratibu za kuabudu na uwasilishwaji wa maandiko!
Nimekuelewa sana.
 
Namuona Yesu na ukristo ukisimama bila chembe ya shaka.
 
 
Mkuu kufa na kuzaliwa mwisho mara ngapi ?

amsr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…