Naomba kujua kuhusu Siddhartha Gautama (Buddha)

Naomba kujua kuhusu Siddhartha Gautama (Buddha)

Buddha na Yesu nani kazaliwa mapema mkuu.
...nadhani umemchanganya na Mohammed aliyezaliwa karne ya 6...ila Buddha to my knowledge kazaliwa BC
Mh ok pengine ni sahihi ngoja nirejee vyanzo vyangu
 
Buddha na Yesu nani kazaliwa mapema mkuu.
...nadhani umemchanganya na Mohammed aliyezaliwa karne ya 6...ila Buddha to my knowledge kazaliwa BC
Karne ya sita
Mkuu Mshana ndie huyu...
Gautama Buddha[note 3] (c. 563/480 – c. 483/400 BCE), also known asSiddhārtha Gautama,[note 4] Shakyamuni Buddha,[4][note 5] or simply the Buddha, after the title of Buddha, was an ascetic(śramaṇa) and sage,[4] on whose teachings Buddhism was wounded.[5] He is believed to have lived and taught mostly in the eastern part of ancient India sometime between the 6th and 4th centuries BCE.[6][note 6]
 
Mkuu Mshana ndie huyu...
Gautama Buddha[note 3] (c. 563/480 – c. 483/400 BCE), also known asSiddhārtha Gautama,[note 4] Shakyamuni Buddha,[4][note 5] or simply the Buddha, after the title of Buddha, was an ascetic(śramaṇa) and sage,[4] on whose teachings Buddhism was wounded.[5] He is believed to have lived and taught mostly in the eastern part of ancient India sometime between the 6th and 4th centuries BCE.[6][note 6]
....hivi ndivyo ninavyojua hata mimi mkuu,
....labda angesema karne ya 6 BC
 
Nafsi inakuwa ile ile na inakumbuka ilipotokea so akijirudi na kugundua makosa siku akipata maisha mengine hapa duniani hatarudia tena makosa aliyoyafanya hivyo atatimiza yale mafundisho muhimu ya buddha hivyo atajikomboa kutoka maisha ya mzunguko na atafikia nirvana ambayo ni kujitambua na kuepuka maisha ya mateso baada ya kifo

Ni hayo tu kwa uelewa wangu
kwa karma yako.wazan zaman ww ulikua nan
 
Mkuu ndio imani yao hiyo na wanaamini ukifanya meditation ndio utajua ulipotoka na wapi unakwenda

Jiulize ulishwahu fanya meditation kabisa ile ambayo hata nzi akipita mita 50 unamsikia?? Gautama alifanya hiyo so na wwe jaribu unaweza pata majibu otherwise kwa imani yao ukifa na madhambi maisha yajayo utakuwa mmachinga huko bamako !!!
ha haha
 
Katika dini yetu ya budha (budhisim) kuna mambo makuu mawili.


1. Samsara
Hii ni imani kuwa kuna maisha baada ya kifo, wazungu waita (life after death) kwamba unapofariki utazaliwa sehemu nyingine kama mwanadamu au kiumbe kingine kutegemeana na karma yako, soma karma chini ujue ni nini.


2. Karma
Hii inamaanisha ni malipo utayopata baada ya kufa. Mfano ulikua mtu mwema na mtoa msaada kwa wasio na kitu hata kama ulikua huna uwezo sana basi ukifa utazaliwa katika hali nzuri sana. Unaweza ukazaliwa ukawa tajiri sana na mtu mwenye mafanikio makubwa.

Hivyo basi samsara huwa determined na karma yako, kama ulikua tajiri na kuwadharau maskini hukawii kuzaliwa mbwa koko hapo baadae. Budhisim ni imani moja tamu sana
Eee kokoooo 😱 😱 😱 😎 😎 😎 😎
 
At least uzi huu umenisaidia kugunduwa wanaoshabikia ccm leo hii, basi waliwahi kuishi hapo kabla yakiwa kama mambwa au farasi au misukule iliyofia kwa wachawi ikazikiwa hukohuko na wachawi na baadae nafsi zao zikazaliwa tena, hapo ndipo kizazi cha wanaccm kilivyopatikana.
 
Vp wale wafuasi wa Muddy wanaoamini kuwa ukiua Kafri unapata thawabu kwa Mungu na unaandaliwa mwanamwali mzuri tena bikra...,

Is that a right faith...????
Ni iman sahihi kulingana na vitabu kafiri maana yake mpingaji ata wana waisrael waliwaua wengi waliowapinga walipokuwa wanakwenda nchi ya ahadi tena kwa msaada wa Mungu ila kibinadamu akili inakataa
 
Nope nafsi yako inasafiri kote huko so unajitambua kabisa kuwa ulikufa ukiwa kahaba so sahivi unateseka hivyo inatakiwa ubadilike ukipata chance nyingine ya kuzaliwa duniani hivyo basi ukizaliwa tena hauwezi rudia makosa yaleyale ambayo yalisababisha uishi maisha mabovu baada ya kifo
Mkuu unataka kusema kwamba watu waliyozaliwa tena wanajua kuwa wamezaliwa tena duniani?
 
Yes kuendana na nadharia hii hivyo maisha unayoishi sasa ni matokeo ya maisha uliyoishi hapo kale!! Kwahyo kma sahivi ni mpiga debe pambana na hali yako 😀😀
Kwa maana hiyo duniani tupo kwa idadi kamili na ndiyo tunafanya mzunguko wa kufa na kuzaliwa tena?
 
Mkuu unataka kusema kwamba watu waliyozaliwa tena wanajua kuwa wamezaliwa tena duniani?
Ukifanya tafakari ya kina utajua tu ulipotoka na utapakokwenda..... Naposema tafakari sio huku unasikiliza nyimbo ya diamond hapana ila meditation haswaaa ambayo akili inahama kabisa kiasi kwamba hta lolote linaloendelea dunianu hulusikii hapo ndio utagundua that's according tu budhists lasihivyo utaendelea kuzunguka kwenye tabu maisha yote whether utazaliwa syria utandikwe bomu alafu unazaliwa somalia ukimbizane na al shabaab dah si mchezo
 
Kwa maana hiyo duniani tupo kwa idadi kamili na ndiyo tunafanya mzunguko wa kufa na kuzaliwa tena?
Hapo sina takwimu sahihi ila sidhani kama idadi ni hiyo hiyo..... ingekuwa hivo tusingetoka kuwa billion 1 hadi tufike billion 7 leo hii...... Nafkiri wengine pia wanazaliwa na wengine pia wamejitoa kwenye mzunguko baada ya kufanya maungamo na kutafuta ukamilifu kwa kufuata zile kanuni 7
 
kwa karma yako.wazan zaman ww ulikua nan
Am enjoying my life so nadhani maisha yaliyopita nilikuwa mtu mwema sana ila nimerudi kwenye maisha ya mzunguko sababu sikufuata 8 fold paths ambayo ndio misingi mikuu ya imani yao..... Ila kama ningekuwa kibaka maisha yaliyopita nafkiri leo hii ningezaliwa kwenye ukanda wa gaza ambako ingetakiwa nikwepe mabomu na risasi kila kukicha
 
Back
Top Bottom