Naomba kujua kwa wenye leseni za udereva

Naomba kujua kwa wenye leseni za udereva

Wakili

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2017
Posts
531
Reaction score
657
Habari waungwana,

Mimi nilisoma udereva katika chuo kimoja cha veta cha serikali huku kaskazini mwaka 2018 na kupewa leseni Class D,

Sasa nina taka kwenda kusomea tena kwa ajili ya kupata leseni Class C, sasa nilikua nimepata fununu kua vyuo vya veta vya serikali havitoi Class C mpaka NIT Dar,

Sasa kama ni hivyo mbona pale nikisoma walikua na magari mabasi makubwa ya Yutong na Costa kwa ajili ya mafunzo na hayo najua fika kua ni kwa ajili ya mafunzo ya udereva wa Class C,

Napenda kujua kua ni lazima niende Dar es Salaama kwa ajili ya kusomea Class C au hata hapa kaskazini kwenye hichi chuo cha serikali cha veta naweza fanikisha?

Ushauri wenu ni muhimu.

Asanteni.
 
Habari waungwana,
Mimi nilisoma udereva katika chuo kimoja cha veta cha serikali huku kaskazini mwaka 2018 na kupewa leseni Class D,sasa nina taka kwenda kusomea tena kwa ajili ya kupata leseni Class C,sasa nilikua nimepata fununu kua vyuo vya veta vya serikali havitoi Class C mpaka NIT Dar,sasa kama ni hivyo mbona pale nikisoma walikua na magari mabasi makubwa ya Yutong na Costa kwa ajili ya mafunzo na hayo najua fika kua ni kwa ajili ya mafunzo ya udereva wa Class C,napenda kujua kua ni lazima niende Dar es Salaama kwa ajili ya kusomea Class C au hata hapa kaskazini kwenye hichi chuo cha serikali cha veta naweza fanikisha?
Ushauri wenu ni muhimu.
Asanteni.
Ngoja waje wajuzi
 
Habari waungwana,

Mimi nilisoma udereva katika chuo kimoja cha veta cha serikali huku kaskazini mwaka 2018 na kupewa leseni Class D,

Sasa nina taka kwenda kusomea tena kwa ajili ya kupata leseni Class C, sasa nilikua nimepata fununu kua vyuo vya veta vya serikali havitoi Class C mpaka NIT Dar,

Sasa kama ni hivyo mbona pale nikisoma walikua na magari mabasi makubwa ya Yutong na Costa kwa ajili ya mafunzo na hayo najua fika kua ni kwa ajili ya mafunzo ya udereva wa Class C,

Napenda kujua kua ni lazima niende Dar es Salaama kwa ajili ya kusomea Class C au hata hapa kaskazini kwenye hichi chuo cha serikali cha veta naweza fanikisha?

Ushauri wenu ni muhimu.

Asanteni.
Wamekudanganya vyuo vyote wanatoa c¹ c² c³ ila baadhi adi c plain
 
Tofauti ya NIT na vyuo vingine vya mafunzo ya udereva, ni kwamba wanatoa kozi maalum kwa udereva wa mabasi ya abiria, mitambo na kuendesha viongozi wa serikali. Vinginevyo leseni madaraja yote zinapatikana kwa vyuo vyote vya udereva.
 
Back
Top Bottom