Imekaa kiumbeumbea,,,,wakinikimbiza huku nahamia tu telegram kwakweliKwani mnakwepaga nini kwenye official whatsApp? Karibuni nyumbani kumenoga 😂
Namba zinazotumia GB/FM WhatsApp zimepigwa ban kutumia official WhatsApp app mpaka uiache kwa muda ikiwa haipo WhatsAppHamia official wasap utapigwa ban
Ndiyo wanazipiga life ban hata ukibadili simu namba wanadetect device uliyotumia awaliNamba zinazotumia GB/FM WhatsApp zimepigwa ban kutumia official WhatsApp app mpaka uiache kwa muda ikiwa haipo WhatsApp
Kinachoniboa kwenye official wasap ni kuchanganya chat za magroup na individual basiiiKwani mnakwepaga nini kwenye official whatsApp? Karibuni nyumbani kumenoga 😂
But you can solve it… mimi groups zote ziko archived..Kinachoniboa kwenye official wasap ni kuchanganya chat za magroup na individual basiii
Hii kitu siipendi kuchanganya chats na magroup basi tu huwa naweka archieved, nilitumiaga FM WhatsApp shida ya hizo ambazo sio official ukibadili device zinaleft group zote. Kuna group za maanaKinachoniboa kwenye official wasap ni kuchanganya chat za magroup na individual basiii
Me nilikuwa FM WhatsApp nikala ban😃Kwani mnakwepaga nini kwenye official whatsApp? Karibuni nyumbani kumenoga 😂
Safi sana,, hizo kitu nimetumiaga zamani sana. Miaka ya 2016-17 😂 nyie mko nayo hadi mnapokea ban?Me nilikuwa FM WhatsApp nikala ban😃
Labda ulikosea namna ya kubadili deviceHii kitu siipendi kuchanganya chats na magroup basi tu huwa naweka archieved, nilitumiaga FM WhatsApp shida ya hizo ambazo sio official ukibadili device zinaleft group zote. Kuna group za maana