Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Nikiweka archive Kuna taarifa nitachelewa kuzipokea maana nitakuwa mvivu kuingia huko archiveBut you can solve it… mimi groups zote ziko archived..
chats zimebaki peke yake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiweka archive Kuna taarifa nitachelewa kuzipokea maana nitakuwa mvivu kuingia huko archiveBut you can solve it… mimi groups zote ziko archived..
chats zimebaki peke yake..
Ukishajua groups ziko archived sidhani utakavyokuwa unachat kawaida kule usifike.Nikiweka archive Kuna taarifa nitachelewa kuzipokea maana nitakuwa mvivu kuingia huko archive
Labda ulikosea namna ya kubadili device
Mbona magroup yanabaki tu
Me tangu 2015😃😃Safi sana,, hizo kitu nimetumiaga zamani sana. Miaka ya 2016-17 😂 nyie mko nayo hadi mnapokea ban?
Ukiwa unabadili device usilogoutMay be . Ila Nili uninstall app nikadowload upya na haijanitokea mimi tu ni zadi ya mmoja app hiyo
Ngoja nijitahidi kuizoea hii wasap official huenda watabadilikaUkishajua groups ziko archived sidhani utakavyokuwa unachat kawaida kule usifike.
Kuna jamaa namuheshimu sana alipost x kwenye status akafuta ila kwetu ikabaki hadi 24hrs 🤣🤣🤣Mlikua wambea sana..mtu umekosea umetuma kwa bahati mbaya status umefuta ndani ya sekunde chache ila mwenye watsup GB baadae anacomment hyohyo status anakuuliza..unamuuliza ww vipi mbona nimefuta..anakujibu hii ndo watsup GB kubwa la maadui 😂 😂 😂 😂
HahahahahahaKuna jamaa namuheshimu sana alipost x kwenye status akafuta ila kwetu ikabaki hadi 24hrs 🤣🤣🤣
Duu unapostije x jamani...pole yake 😆Kuna jamaa namuheshimu sana alipost x kwenye status akafuta ila kwetu ikabaki hadi 24hrs 🤣🤣🤣
Nadhani alikuwa anamtumia mtu akajikuta amepost statusDuu unapostije x jamani...pole yake 😆
Mi yangu ilikubali hapo hapo bila shida kutok fm.whatsap to oficial whatsapNamba zinazotumia GB/FM WhatsApp zimepigwa ban kutumia official WhatsApp app mpaka uiache kwa muda ikiwa haipo WhatsApp