Naomba kujua mabadiliko yaletwayo na P2

Naomba kujua mabadiliko yaletwayo na P2

Nimekula tunda wakati mbaya wa hatari ya kupata m>mba NikAaMUa kutumia p2 cha ajabu binti kawah kuingia tena kwenye hedhi sasa si elew mana hata mwezi haujaisha wazoefu mnaofaham haya mnipung<zie hofu hqpa nahemea mashine yan
Hapo maana ake dawa zimefanya kazi.
Your in safe side
Au hujui P2 inavyofanya kazi??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Nimekula tunda wakati mbaya wa hatari ya kupata m>mba NikAaMUa kutumia p2 cha ajabu binti kawah kuingia tena kwenye hedhi sasa si elew mana hata mwezi haujaisha wazoefu mnaofaham haya mnipung<zie hofu hqpa nahemea mashine yan
Hizi ndio zinasababisha matatizo ya uzazi kwa wanawake huko baadae
 
Nimekula tunda wakati mbaya wa hatari ya kupata m>mba NikAaMUa kutumia p2 cha ajabu binti kawah kuingia tena kwenye hedhi sasa si elew mana hata mwezi haujaisha wazoefu mnaofaham haya mnipung<zie hofu hqpa nahemea mashine yan
Saivi umeanza kuchangamkaa bwana 🤣🤣🤣🤣

Utajua hujui
 
Back
Top Bottom