Uwe unapitia akaunti yako uliyoifungua kwa ajili ya kufanya maombi, huwa wanaweka taarifa za kuitwa na tarehe ya kufanyiwa usahili katika akaunti yako.
Na ukitaka pia kuona majina ya ujumla basi fungua au peruzi tovuti ya Ajira Portal ukishaifungua utaona maelekezo tu.
Karibu.