GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
mwanya alio nao? Mbona tayari eshajulikana.Nijibuni haraka kwani kwa jinsi ilivyo, ilivyojengwa kwa haraka kuanzia tarehe 21 Machi, 2021 na inavyojaza Watu sasa na Huduma zake na Mimi GENTAMYCINE natamani kwenda, ila ili niende nikiwa na Furaha tele ningependa hasa nimjue Mmiliki wake ili nimpongeze kwani amejua kutumia Fursa na Mwanya ulioko / alionao.
Don't know that hotel'Kwanza Hotel' iko Unguja Zanzibar.
Anaitwa TUKANA UONENijibuni haraka kwani kwa jinsi ilivyo, ilivyojengwa kwa haraka kuanzia tarehe 21 Machi, 2021 na inavyojaza Watu sasa na Huduma zake na Mimi GENTAMYCINE natamani kwenda, ila ili niende nikiwa na Furaha tele ningependa hasa nimjue Mmiliki wake ili nimpongeze kwani amejua kutumia Fursa na Mwanya ulioko / alionao.
😁😀😅😅😃😄😀Ya mama Abdul hiyo..
Naam Karibu mkuu uenjoy kwenye mandhari nzuri!Anaitwa TUKANA UONE
Wamiliki ni wakina naniHii Hotel kuna dogo alipata kazi hapo na wamiliki niView attachment 2811885
AahaaaaMimi ndiye mmiliki wa hiyo hotel mkuu!
Wakati wenzio tunatumia fursa kujiwekeza wewe kutwa JF kupigizana kelele na vijana wadogo!.
Any way, Nakupa ofa ya kuja kulala na kula bure ukiwa umeambatana na mumeo kwa muda wa siku 14!.
karibu sana mdau!
Ni wafaransa mkuu muanzilishi anaitwa Gauthier Guillaume wana hotel nchi nyingi AfricaWamiliki ni wakina nani
Duuh watu wana pesa balaaaNi wafaransa mkuu muanzilishi anaitwa Gauthier Guillaume wana hotel nchi nyingi Africa
Walianza mwaka 2010 na wamejitanua haswa yaani ukivuma kidogo makampuni yanakuja kuomba ubia muwe pamojaDuuh watu wana pesa balaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inafanana kabisa na ile ya anayekubebesha Mimba zake Tukuka kila mwaka.