Naomba kujua namna ya kuendesha biashara ya pweza

Acha Masiala aisee Yaani Mtu anayeuza Pweza kwenye meza Ndo Umlipe Laki sita kwa Mwezi [emoji1787][emoji1787]

Yaani 600k Per months au 20k per day Mmmmmh hata serkali hailipi Hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi Ina Hela hiyo boss
 
Kwanini uweke mtu usikae mwenyewe
 
niko kisiwa cha Mafia, tuyajenge niwe supplier wako wa Pweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…