Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba

Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba

Roga Roga

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
656
Reaction score
499
Habari wana jf? Nipo katika ujenzi na kwasasa nahitaji kufunga gypsum board ndani ya nyumba, hivyo Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba. Nyumba ina ukubwa wa mita 12 kwa 10 na ina vyumba vitatu, sitting room, dinning, jiko na stoo. Kwa mwenye uwelewa naomba msaada wenu. Pia nomba nijue namna ya kupata estimation za mbao kwa blandering.
 
Habari wana jf? Nipo katika ujenzi na kwasasa nahitaji kufunga gypsum board ndani ya nyumba, hivyo Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba. Nyumba ina ukubwa wa mita 12 kwa 10 na ina vyumba vitatu, sitting room, dinning, jiko na stoo. Kwa mwenye uwelewa naomba msaada wenu. Pia nomba nijue namna ya kupata estimation za mbao kwa blandering.
Idadi ya Mbao
Kama utatumia mbao za futi 12 na gympsum board yako utapiga mbao mbili katikati (spacing 81cm)

No = (((12÷0.6)+1)×10+((10÷0.81)
+1)×12+((12÷0.6)+1)×12
×0.45)÷3.6 = 135pcs



Kama utatumia mbao za futi 12 na gympsum board yako utapiga mbao moja katikati (spacing 120cm)

No = (((12÷0.6)+1)×10+((10÷1.2)
+1)×12+((12÷0.6)+1)×12
×0.45)÷3.6 = 121pcs

Kama utatumia mbao ndefu za futi 20, copy hiyo formula ingiza kwenye calculator then hapo kwenye 3.6 type 5.7
 
Na namna ya kulipa fundi kwa kazi yote ikoje??
Idadi ya Mbao
Kama utatumia mbao za futi 12 na gympsum board yako utapiga mbao mbili katikati (spacing 81cm)

No = (((12÷0.6)+1)×10+((10÷0.81)
+1)×12+((12÷0.6)+1)×12
×0.45)÷3.6 = 135pcs



Kama utatumia mbao za futi 12 na gympsum board yako utapiga mbao moja katikati (spacing 120cm)

No = (((12÷0.6)+1)×10+((10÷1.2)
+1)×12+((12÷0.6)+1)×12
×0.45)÷3.6 = 121pcs

Kama utatumia mbao ndefu za futi 20, copy hiyo formula ingiza kwenye calculator then hapo kwenye 3.6 type 5.7
Na namna ya kulipa fundi kwa kazi yote ikoje??
 
Kwa Nyumba nzima, bei ya Undugu ya chini ambayo Binafsi huwa naridhia ni 600,000.....!

Kama tumekutana tu, 700,000 mpaka 800,000 ikitegemea na ukubwa wa Nyumba.

Nakupa bei kama fundi, utakua umepata idea.

Hii ni kufunga Blandering, Gyspum na Mikanda.

Goodluck.
 
Habari wana jf? Nipo katika ujenzi na kwasasa nahitaji kufunga gypsum board ndani ya nyumba, hivyo Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba. Nyumba ina ukubwa wa mita 12 kwa 10 na ina vyumba vitatu, sitting room, dinning, jiko na stoo. Kwa mwenye uwelewa naomba msaada wenu. Pia nomba nijue namna ya kupata estimation za mbao kwa blandering.
Jumlisha gharama ya material zote then labour charge huwa ni kati ya 25 to 30% ya total cost ya materials
 
Na namna ya kulipa fundi kwa kazi yote ikoje??

Na namna ya kulipa fundi kwa kazi yote ikoje??
Mara nyingi kila fundi anakuaga na utaratibu wake, kuna mafundi wengine wanakuchaji kwa kila gympsum board mfano anaweza akakwambia gympsum moja anapiga kwa sh 15,000 (hii inajumuisha kazi zote, kupiga mbao, kufunga board, na kubandika mikanda) kwa hivyo gharama itategemea na idadi ya gympsum zitakazotumika. Kiufupi jitahidi labour charge kwa kazi yoyote iwe inarange kwenye 18% mpaka 25% ya gharama za material kutegemeana na ugumu wa kazi
 
nakumbuka bei ya ufundi kwa nyumba ya 13m x 13m

blandering ndani na nje alifanya kwa 250k
kufunga mikanda , gypsum na kuweka pvc nje alifanya 250k
 
Habari wana jf? Nipo katika ujenzi na kwasasa nahitaji kufunga gypsum board ndani ya nyumba, hivyo Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba. Nyumba ina ukubwa wa mita 12 kwa 10 na ina vyumba vitatu, sitting room, dinning, jiko na stoo. Kwa mwenye uwelewa naomba msaada wenu. Pia nomba nijue namna ya kupata estimation za mbao kwa blandering.
Mbao anza na 2x2 70.
Ufundi kil chumba sh 70
 
Naomba unitafute kaka tukufanyie kaz kwa bei ya offer iliyoanza December 22 had January 10,2023 call )WhatsApp 0757735884 au tembelea ukurasa wetu Instagram Kama highland _decor_solution msimu huu wa sikukukuu labour charge ni 30% off karibu
Habari wana jf? Nipo katika ujenzi na kwasasa nahitaji kufunga gypsum board ndani ya nyumba, hivyo Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba. Nyumba ina ukubwa wa mita 12 kwa 10 na ina vyumba vitatu, sitting room, dinning, jiko na stoo. Kwa mwenye uwelewa naomba msaada wenu. Pia nomba nijue namna ya kupata estimation za mbao kwa blandering.
 
Naomba unitafute kaka tukufanyie kaz kwa bei ya offer iliyoanza December 22 had January 10,2023 call )WhatsApp 0757735884 au tembelea ukurasa wetu Instagram Kama highland _decor_solution msimu huu wa sikukukuu labour charge ni 30% off karibu
Sawa mkuu,
 
Fundi alienipaulia kwa 1mil ndie aliefunga blundering kwa additional cost ya 250,000/-. Nyumba ni vyumba Vinne na bati ni hidden roof ya kulalia upande mmoja.
 
ENEO NA BOMA LINAUZWA
KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC.YA SIMBANI .
ENEO LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUVUNIA MAJI LITA ELFU 3000.

UMEME NGUZO MBILI
MAJI NI MITA 500

km.1 kutoka main road

NATAKA ML. 18
 
Habari wana jf? Nipo katika ujenzi na kwasasa nahitaji kufunga gypsum board ndani ya nyumba, hivyo Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba. Nyumba ina ukubwa wa mita 12 kwa 10 na ina vyumba vitatu, sitting room, dinning, jiko na stoo. Kwa mwenye uwelewa naomba msaada wenu. Pia nomba nijue namna ya kupata estimation za mbao kwa blandering.
Nyumba gani hyo aise yenye sitting room ,stoo na dinning je nyumba yako Haina nyumb ya kulala
 
ENEO NA BOMA LINAUZWA
KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC.YA SIMBANI .
ENEO LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO VYAKE TAYARI VINATUMIKA LINA TANK YA CHINI YA KUVUNIA MAJI LITA ELFU 3000.

UMEME NGUZO MBILI
MAJI NI MITA 500

km.1 kutoka main road

NATAKA ML. 18
Chukua Tisa mkuu Hali ngumu mm siyo fisadi
 
Back
Top Bottom