Naomba kujua nikiagiza Dualis from Japan hadi mlangoni kwangu Tsh ngapi

Naomba kujua nikiagiza Dualis from Japan hadi mlangoni kwangu Tsh ngapi

Annie X6

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2023
Posts
704
Reaction score
1,331
Naogopa kupigwa naomba msaada. Kichwa hapo juu kimeongea.

Naona bei kwa kule ni 3346USD

Screenshot_20240715_232720_Chrome.jpg



Kwa nilivyosikia bei inakua mara mbili

8883630 x2 haikosi 18,000,000


Wakuu ndivyo??
 
Naogopa kupigwa naomba msaada. Kichwa hapo juu kimeongea.

Naona bei kwa kule ni 3346USD

View attachment 3043473


Kwa nilivyosikia bei inakua mara mbili

8883630 x2 haikosi 18,000,000


Wakuu ndivyo??

HATUA YA KWANZA
Ingia kwenye masoko maarufu yanayouza magari uangalie wastani wa bei za gari unayoitaka. Ingia Befoward, Nikkyo, TCV, SBT, Enhance Auto, Real Motors, Autocom Japan etc kisha changua aina ya gari (Nissani Dualis), watakuletea gari nyingi sana utachagua based on bei. Ile total price (CIF) ndio bei halisi ya gari ikijumuisha bei, usafiri, bima na ukaguzi.
HATUA YA PILI
Ingia kwenye tovuti ya TRA uangalie kodi ya hiyo gari kwa kuzingatia sifa zake i.e. mwaka, aina ya gari, engine capacity, etc.​

HATUA YA TATU
Jumlisha CIF, Kodi na weka makadirio ya gharama za bandarini (port charges) ambazo nadhani haiwezi kuzidi 1 M kwa Dualis.​
 
Naogopa kupigwa naomba msaada. Kichwa hapo juu kimeongea.

Naona bei kwa kule ni 3346USD

View attachment 3043473


Kwa nilivyosikia bei inakua mara mbili

8883630 x2 haikosi 18,000,000


Wakuu ndivyo??
Dualis ya mwaka gani?

Unaingia kwenye kikokotoo cha kodi cha tra Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System

Ongeza na kama 1mil. ya gharama ndogo ndogo kama malipo kwa kampunj ya clearing and forwarding nk.

Ongeza na gharama za Bima na service ya gari.

Hii hapa ni ushuru wa Dualis ya mwaka 2013.

Screenshot_20240717_022251_Chrome.jpg
 
Ghrama ya ushuru ni kubwa kuliko bei ya kununulia
Kwa style hio unamchekaje mtu anayenunua gari mkononi🤣!?

You can get a duty free, properly maintained vehicle on the P2P used car market of Dar es Salam using only 60% of the whole cost of importing similar vehicle from Japan.

Kwanini ulipe 18M wakati unaweza pata gari hio hio nchini kwa 11M ikiwa kwenye hali nzuri tu?
 
Kwa style hio unamchekaje mtu anayenunua gari mkononi🤣!?

You can get a duty free, properly maintained vehicle on the P2P used car market of Dar es Salam using only 60% of the whole cost of importing similar vehicle from Japan.

Kwanini ulipe 18M wakati unaweza pata gari hio hio nchini kwa 11M ikiwa kwenye hali nzuri tu?
Kuna risky free importing vehicles from abroad.

Bongo kuna wizi,default kibao. Binafsi nawakubali wale wakaka pale Morocco japo bei zao kuubwa sana.
 
Kuna risky free importing vehicles from abroad.

Bongo kuna wizi,default kibao. Binafsi nawakubali wale wakaka pale Morocco japo bei zao kuubwa sana.
Sawa ila gharama ni kubwa sana kuimport directly from Japan without any justification. Unanunua gari kwa gharama kubwa utafikiri tunalinda uzalishaji wa ndani maybe ila hatuna hata hicho kiwanda.
 
Hapo bongo serikali haitaki watu wamiliki magari, yanii hii biashara asee sijui inakuwaje yani gari million kumi ushuru milion kumi😂😂🙌 sijui tu Mungu atusaidie wabongo
 
Sawa ila gharama ni kubwa sana kuimport directly from Japan without any justification. Unanunua gari kwa gharama kubwa utafikiri tunalinda uzalishaji wa ndani maybe ila hatuna hata hicho kiwanda.
Kwa hiyo mkuu ww unapemdelea za mkononi zaidi?
 
Hapo bongo serikali haitaki watu wamiliki magari, yanii hii biashara asee sijui inakuwaje yani gari million kumi ushuru milion kumi😂😂🙌 sijui tu Mungu atusaidie wabongo
😀😀 za mkononi unazipata 2 tena zilizo simama kwa bei hiyo
 
Back
Top Bottom