Naomba kujua nikiagiza Dualis from Japan hadi mlangoni kwangu Tsh ngapi

Naomba kujua nikiagiza Dualis from Japan hadi mlangoni kwangu Tsh ngapi

Kwa uzoefu wako wa wepi wana magari na bei poa zaidi?
SBT ukipata Gari kinanda ni haswaa japo huwa hazikai na mala nyingi zinawekwa Usiku sana ukiamka asubuhi unakuta iko Reserved inabidi upate namba ya Account Manager mmoja ya whatsapp unampanga ikitoka gari kali tu anaishikilia mnaanza ku negotiate.
 
SBT ukipata Gari kinanda ni haswaa japo huwa hazikai na mala nyingi zinawekwa Usiku sana ukiamka asubuhi unakuta iko Reserved inabidi upate namba ya Account Manager mmoja ya whatsapp unampanga ikitoka gari kali tu anaishikilia mnaanza ku negotiate.
Unaeza nisaidia hy # mkuu?
 
Unaeza nisaidia hy # mkuu?
Ngoja ni share hapa hapa

IMG_8209.png


IMG_8210.png


Note; Kabla ya kufanya chochote jiridhishe Boss.
 
Back
Top Bottom